Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Neymar Jr , Icard , Cavan , Mbape , Di Maria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipya lipi unaloliandika hapa ?Hamna jipya hapo mkuu..
Labda aje kocha mwingine
tuendelee kutega sikioHao UEFA hawanusi nusu..
Hujaelewa nini hapo mkuu??Jipya lipi unaloliandika hapa ?
basi sawaHujaelewa nini hapo mkuu??
Psg itaendelea kuwa ileile tuliyoizoea..ya kushinda 4 bila nyumbani na kupigwa sita Nou Camp
Navas kaletwa goliniMkuu hao hawachezi wote uwanjani, Timu inamatatizo mengi wameshindwa kutatua. Kuendelea kukusanya washambuliaji wenye majina makubwa sio suluhisho la matatizo yao.
Navas kaletwa golini
Aiseee !Kwani hao kina Neymar Jr , Cavan , Mbape na Di Maria si miaka yote wapo na wanaishia kupapaswa wakitoka Nje ya Ligi yao ya Wakulima?
Hapo aliyeongezeka ni Icard tu ambaye ni wa kawaida sana.
Hapo mchezaji ni Mbappe tu! Huyo Neymar yeye utakutia Timu inatafuta ushindi yeye anakazania kupega kanzu na visigino.
Aiseee !
Huyo pablo sarabia ni swala la mda tu ataongelewa sana jamaa siku hizi ukiangalia mechi za psg anaibeba sana safu ya ushambuliajiDi maria icard pablo sarabia
Hii comb jana imekubali
Mkuu kwa midfield ya psg aisee hapa hujawatendea haki.Huo ni usajili mzuri, Lakini timu ina tatizo la midfield wa chini yani namba 6, wamekua wkimchezesha Marqunhos. Na wanaendela kumchezesha, mwaka jana iliwakost sana kwenye Champion League wakawa wanacheza vibaya.
Pia timu ina tatizo kwenye Defence, Silva ameshachoka nawale kina Kipembe ni wachezaji wakucheza Lile sio PSG. Yule jamaa anacheza kulia hata haeleweki kabisa, Sehemu hizo ndizo zenye udhaifu wa timu na ndizo zinazowafungisha kwenye mechi kubwa.
Kumbuka magoli waliofungwa Msimu uliopita mechi ya Man UTD Defense ilichangia kwa asilimia 100 yale magoli yote.
Huyu kocha waliane anachingia kwa asilimia kubwa timu kuwa haieleweki.