Unaanzisha mada halafu huna hojaIlo rafuta wewe sasa
Poor analysis.Mayele ni mchezaji wa kawaida sana, huyu aliyeshindwa ku battel na akina mpole, aliyesimama na goli zake 15, kama phiri asingeumia angeshampita
Huyu mayele hata nusu ya uwezo aliokua nao kagere hajafikia
Hainitoshi kwa kipi labda?Bora ungetulia tu hii mada haikutoshi
kufunga dhidi ya timu gani sio hoja coz,.hizo timu zimeshakutana na washambuliaji unao ona ni bora why hawakuondoka na hattrick?Anapiga hatrick akicheza na team gani?
ata hao unao waona wanafungwa na shalulile. Uko SA nao ni vibonde tu kwa mamelod, yan una hoja dhaifu na nyepesi sanaMayele anaefunga vibonde maji
Mamelodi hawana fanbase ya kutosha kuchangamsha fainali. Ukitaka fainali ya kufa mtu muweke Simba na Raja hapo.Mtoa mada upo spot on, kwa sasa hii product ya katutura hana mshindani kabisa kwa no 9,nitafurahi kama masandawana watapiga game kwa mkapa ili watanzania wajionee why hawa wanaitwa Brazilians, nitafurahi Simba SC iende all the way kwenye final (inawakilisha nchi),but final ya Raja na Mamelodi, Africa itasimama
Nafikiri anamchukulia poa kwakuwa yupo losers cupMayele vipi, au unamchukulia poa kwa kuwa tupo naye bongo?
UmejuajeHalafu haringi,hana majigambo
Mtu wa dini sana,fuatilia utaonaUmejuaje
Final ikichezwa Senegal, simba itajaza watu? Simba na Yanga inajaza taifa tuMamelodi hawana fanbase ya kutosha kuchangamsha fainali. Ukitaka fainali ya kufa mtu muweke Simba na Raja hapo.
Watu wenye akili kama wewe mpo wachache sana kudosMtoa mada upo spot on, kwa sasa hii product ya katutura hana mshindani kabisa kwa no 9,nitafurahi kama masandawana watapiga game kwa mkapa ili watanzania wajionee why hawa wanaitwa Brazilians, nitafurahi Simba SC iende all the way kwenye final (inawakilisha nchi),but final ya Raja na Mamelodi, Africa itasimama