Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchunguu huu.Mayele ni mchezaji wa kawaida sana, huyu aliyeshindwa ku battel na akina mpole, aliyesimama na goli zake 15, kama phiri asingeumia angeshampita.
Huyu mayele hata nusu ya uwezo aliokua nao kagere hajafikia.
Raja watakula nyingii kwa mamelod lol.Mtoa mada upo spot on, kwa sasa hii product ya katutura hana mshindani kabisa kwa no 9,nitafurahi kama masandawana watapiga game kwa mkapa ili watanzania wajionee why hawa wanaitwa Brazilians, nitafurahi Simba SC iende all the way kwenye final (inawakilisha nchi),but final ya Raja na Mamelodi, Africa itasimama