Kwa sasa Afrika nzima hakuna number 9 bora kumzidi Peter Shalulile

Mtu wa dini sana,fuatilia utaona
Kabla ya mechi huwa ana imbisha nyimbo dressing room
Your browser is not able to display this video.
 
Hiv uliwahi muona anavocheza huyo alikuwa beki wa pembeni badae akapandishwa akawa anacheza Kama winga sizan Kama anacheza namba tisa
Number 9 anacheza winger ni Cassius Maiula na Captain Themba zwane
 
Umuweke mtu asie na uwezo ivi una akili kweli?
Nimezungumza kibiashara na msisimko wa kimpira kutokana na idadi na aina ya washabiki walio nyuma ya timu hizo.

Croatia alipocheza fainali ya World Cup 2018 haikuwa the best option kibiashara. Fikiria kama ingekuwa France vs England.
 
Mtu kapitwa na mpole[emoji16]
Kupitwa siyo sababu ya kusema mchezaji ni WA kawaida, Abrah jr wa Ruvu walishawai ku tie magoli na Msuva mbele ya strikers kama Tambwe, Kiiza, Boko tena kipindi hicho wako wa moto

Hata huyu Shalulile kuna misimu hakuwa top scorer mfano season ya 20/21 alimaliza nafasi ya pili Ila msimu ulofuata ndo akawa top scorer..sasa Mayele misimu miwili mfululizo anafunga zaidi ya goals 15 af unasema ni wa kawaida hapo unaongelea ushabiki na siyo uhalisia

Kama unapima ubora wa mtu kwa kupitia kuwa top scorer basi Shalulile siyo Bora Zaid Afrika maana msimu uliyopita hajawa top scorer wa klabu bingwa
View attachment 2553682
 
Shida hatutaki mlinganishe shalulile na iyo takataka ya yanga
 
Nimezungumza kibiashara na msisimko wa kimpira kutokana na idadi na aina ya washabiki walio nyuma ya timu hizo.

Croatia alipocheza fainali ya World Cup 2018 haikuwa the best option kibiashara. Fikiria kama ingekuwa France vs England.
Uwezo tunataka sio msisimko
 
Afrika nzima ya wapi wewe
 
Aahh wapi..kuna watu huku kwetu Wana mikimbio hatarii
 
Simba ni kibonde ndiyo hana ata ubingwa wa Africa
kwaiyo timu zote za Afrika ambazo hazina bingwa wa Africa ni vibonde,
Yan wew hoja huna,na ata hizo hoja zako.za kipuuzi kuzitetea hauwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…