Kwa sasa Afrika nzima hakuna number 9 bora kumzidi Peter Shalulile

kwaiyo timu zote za Afrika ambazo hazina bingwa wa Africa ni vibonde,
Yan wew hoja huna,na ata hizo hoja zako.za kipuuzi kuzitetea hauwezi
Ndiyo ni vibonge kama sio washinde ubingwa
 
Mayele ni mchezaji wa kawaida sana, huyu aliyeshindwa ku battel na akina mpole, aliyesimama na goli zake 15, kama phiri asingeumia angeshampita.

Huyu mayele hata nusu ya uwezo aliokua nao kagere hajafikia.
Ukweli mchunguu huu.
 
Raja watakula nyingii kwa mamelod lol.
 
Leo tunampasua al hilaly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…