longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Natumaini ulimaanisha wasibweteke.Viongozi wasibweke wapumbavu kama huyu jamaa watapata cha kuongea
View attachment 3210775
Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu
Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..
Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
YahNatumaini ulimaanisha wasibweteke.
Wengi tuKwani kuna mtu alidhani bila mbowe chama kingekufa
Iwekwe Nguvu ya kutoshaZoezi la kuhakiki na kuandikisha lianze mara moja.
Tunahitaji kuwe na programu maalumu pia ya ujenzi wa ofisi kila wilaya na jambo pamoja na mfumo wa kulipa makatibu wa wilaya ili wafanye kazi zao kwa ufanisi
Ndiyo jukwaa Rasmi la Chadema itapendezaNapendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu
Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..
Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
Hili ni jambo la maana sana kwa CDM kwa sasa na tunaomba viongozi wetu mlifanyie kazi.Kwanza nitoe pongezi kwa viongozi wote waliochaguliwa na kuteuliwa katika uchaguzi huu wa CDM 2025 .
Pili mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu , pesa zinahitajika sana na adhani hutuna uhakika kama zile hela zilizokuwa zinatolewa kipindi kilichopita kama zamani hivyo wanachama na watu wenye mapenzi mema na chama ndiyo itakuwa chanzo kikubwa cha Mapato .
Wanachama hai milioni 2 wanatosha kuendesha chama .
Binafsi jana baada ya uchaguzi kuisha nililipa ada ya mwaka
TUSHIRIKI KUIMARISHA CHAMA
Mambo yanabidi yawe mpera mpera tumebakiza muda mchache sana kufika October ya uchaguzi mkuu.Zoezi la kuhakiki na kuandikisha lianze mara moja.
Tunahitaji kuwe na programu maalumu pia ya ujenzi wa ofisi kila wilaya na jambo pamoja na mfumo wa kulipa makatibu wa wilaya ili wafanye kazi zao kwa ufanisi
HakikaHili ni jambo la maana sana kwa CDM kwa sasa na tunaomba viongozi wetu mlifanyie kazi.
HakikaMambo yanabidi yawe mpera mpera tumebakiza muda mchache sana kufika October ya uchaguzi mkuu.
Nimeidownload sijaona sehemu ya kuchangia kama sio mwanachamaIngia kwenye play store kuna hii app jisajili uanachama kisha lipia View attachment 3210778
Si ujisaliNimeidownload sijaona sehemu ya kuchangia kama sio mwanachama
Ndogo sana hii haitoshi.2.5×2M= 5B bado ruzuku , kumbe chama bila yule bwana kinaweza endeshwa .
Mkuu jisajiliNimeidownload sijaona sehemu ya kuchangia kama sio mwanachama
Ukiongeza na ruzuku inatoshaNdogo sana hii haitoshi.
HakikaUkiongeza na ruzuku inatosha
Sawa sawaNapendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu
Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..
Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
Kwa kuanzia si habaNdogo sana hii haitoshi.