Kwa sasa CHADEMA inahitaji wanachama Hai wengi kuliko wakati mwingine wowote, Tushiriki kuimarisha chama

Kwa sasa CHADEMA inahitaji wanachama Hai wengi kuliko wakati mwingine wowote, Tushiriki kuimarisha chama

Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu

Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..

Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
 
Uko sahihi
Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu

Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..

Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
 
Zoezi la kuhakiki na kuandikisha lianze mara moja.
Tunahitaji kuwe na programu maalumu pia ya ujenzi wa ofisi kila wilaya na jambo pamoja na mfumo wa kulipa makatibu wa wilaya ili wafanye kazi zao kwa ufanisi
Iwekwe Nguvu ya kutosha
 
Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu

Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..

Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
Ndiyo jukwaa Rasmi la Chadema itapendeza
 
Kwanza nitoe pongezi kwa viongozi wote waliochaguliwa na kuteuliwa katika uchaguzi huu wa CDM 2025 .

Pili mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu , pesa zinahitajika sana na adhani hutuna uhakika kama zile hela zilizokuwa zinatolewa kipindi kilichopita kama zamani hivyo wanachama na watu wenye mapenzi mema na chama ndiyo itakuwa chanzo kikubwa cha Mapato .

Wanachama hai milioni 2 wanatosha kuendesha chama .

Binafsi jana baada ya uchaguzi kuisha nililipa ada ya mwaka



TUSHIRIKI KUIMARISHA CHAMA
Hili ni jambo la maana sana kwa CDM kwa sasa na tunaomba viongozi wetu mlifanyie kazi.
 
Zoezi la kuhakiki na kuandikisha lianze mara moja.
Tunahitaji kuwe na programu maalumu pia ya ujenzi wa ofisi kila wilaya na jambo pamoja na mfumo wa kulipa makatibu wa wilaya ili wafanye kazi zao kwa ufanisi
Mambo yanabidi yawe mpera mpera tumebakiza muda mchache sana kufika October ya uchaguzi mkuu.
 
Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu

Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..

Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
Sawa sawa
 
Back
Top Bottom