longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Napendekeza Tufungue tawi la CHADEMA Jamii Forums....
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu
Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..
Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.
Kwa miaka 10 niliyokaa hapa nimeona nguvu ya mtandao huuu
Haiwezekani ikiwa ni mpira utaona matawi ya mashabiki tena wakijitoa kwa hali na mali kwa wivu mkubwa..
Tunapoelekea katika Uchaguzi mkuu...ifahamike rasmi CHADEMA JF ipo na inaupelekea pumzi ya moto Chama dola.