Kwa sasa Geita inachangia pakubwa kwenye pato la Taifa, “inastahili" kama Kilimanjaro enzi za kahawa!

Kwa sasa Geita inachangia pakubwa kwenye pato la Taifa, “inastahili" kama Kilimanjaro enzi za kahawa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Geita haijaumbwa ili iwe mashimo baada ya kuchimba madini bali inastahili maendeleo kama mikoa mingine.

Nimeona niseme hili maana ujenzi wa kimaendeleo wa uwanja wa ndege na hospitali ya Rufaa unawanyima usingizi Chadema ambao wamewahi kuwa na wabunge makini kutoka kanda ya ziwa.

Geita na mikoa mingine iliyosahaulika ni lazima ikumbukwe sasa kama kahawa ilivyoinufaisha Kilimanjaro.

Kupanga ni kuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna haja ya kujengwa ikulu ya milele kwenye eneo hilo ili kuwakata ngebe hao Chadema , halafu kufanya mambo katika nchi kwa kuangalia yanayosemwa na chadema badala ya kufuata katiba ya nchi ni jambo la Aibu ya kiwango cha kijinga sana .
 
Mkoa uliosahaulika nchi hii ni Geita tu hasa hasa kijiji cha Chato.

Kila kitu kielekezwe huko.
 
Geita haijaumbwa ili iwe mashimo baada ya kuchimba madini bali inadtahili maendeleo kama mikoa mingine.

Nimeona niseme hili maana ujenzi wa kimaendeleo wa uwanja wa ndege na hospitali ya Rufaa unawanyima usingizi Chadema ambao wamewahi kuwa na wabunge makini kutoka kanda ya ziwa.

Geita na mikoa mingine iliyosahaulika ni lazima ikumbukwe sasa kama kahawa ilivyoinufaisha Kilimanjaro.

Kupanga ni kuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Upuuzi mtupu.
Siye wa Ngulyati tunafikiri kodi zetu zinatumika vibaya.
Mhimili wa CAG uingilie kati.
 
Geita haijaumbwa ili iwe mashimo baada ya kuchimba madini bali inadtahili maendeleo kama mikoa mingine.

Nimeona niseme hili maana ujenzi wa kimaendeleo wa uwanja wa ndege na hospitali ya Rufaa unawanyima usingizi Chadema ambao wamewahi kuwa na wabunge makini kutoka kanda ya ziwa.

Geita na mikoa mingine iliyosahaulika ni lazima ikumbukwe sasa kama kahawa ilivyoinufaisha Kilimanjaro.

Kupanga ni kuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Geita inachangia kiasi gani kwenye pato la Taifa?
 
Geita imekuwa maskini kwa sababu ya sera mbovu za madini za serikali ya CCM.

Ki takwimu mkoa wa shinyanga na Geita bado inachangia pakubwa kwenye pato la taifa kuliko hata Kilimanjaro na Arusha .. na hii ni kwasababu ya output inayotokana na madini.. ila quality of life ya raia wa hiyo mikoa ni janga.. maskini wa kutupwa
 
Geita haijaumbwa ili iwe mashimo baada ya kuchimba madini bali inastahili maendeleo kama mikoa mingine.

Nimeona niseme hili maana ujenzi wa kimaendeleo wa uwanja wa ndege na hospitali ya Rufaa unawanyima usingizi Chadema ambao wamewahi kuwa na wabunge makini kutoka kanda ya ziwa.

Geita na mikoa mingine iliyosahaulika ni lazima ikumbukwe sasa kama kahawa ilivyoinufaisha Kilimanjaro.

Kupanga ni kuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Kama unatoka usingizini hivi.
 
Ajabu wilaya ya Geita yenye madini(mgodi mkubwa wa 2 barani Afrika) imeachwa/imesahaulika. Si umeme(REA), Wakati wilaya za Mbogwe, Bukombe, Nyang'wale, Chato vijiji vyake vikiwa na coverage ya 90%+ ya umeme, wilaya ya Geita hata 50% haijafikiwa. Sijui shida ni nini.
 
Back
Top Bottom