Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
We dada uliyeanzisha huu uzi ulimwona jana huyo bwana'ako Vinicius Jr alivyokimbizwa na lile domo lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilibet barca ashinde na akashinda ila sikutegemea zingekuwa nyingi vile.We dada uliyeanzisha huu uzi ulimwona jana huyo bwana'ako Vinicius Jr alivyokimbizwa na lile domo lake?
Mimi pia nilistake upande wa Barcelona. Sema niko busy na huyu mjinga anayemlinganisha Messi na Ronaldo na yule mpuuzi Vinicius Jr.nilibet barca ashinde na akashinda ila sikutegemea zingekuwa nyingi vile.
hao ndo gen z, kuna siku ronaldo alilinganishwa na galasa haaland, niliumia sana siku hyo.Mimi pia nilistake upande wa Barcelona. Sema niko busy na huyu mjinga anayemlinganisha Messi na Ronaldo na yule mpuuzi Vinicius Jr.
Sasa baada ya mechi ya jana ndio utatueleza uzuri kuhusu uzuri wa Vinicious.Mpappe,Messi,Robaldo,taja mwingine,ukuwajumlisha kwa pamoja kwa sasa ndio unampata Vini Jr