Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Yupi ana degree ya mineral processing na hana ajira namtaka mm20. Mineral processing engr
21. Bachelor of art with education
22. Fine art and design
23. Statistics
24.Mathematics
25.Physics
26. Civil engr
27. Chemistry
28. Agroeconomy
29. Biochemistry
30. French
31. Arabic
32.
33.
34.
Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali ilitangaza ajira nawaliopata wengi ni bachelor of science in chemistry, physics na biologyCivil engineering haijatajwa hapo.
Haya hizo zingine (Maths, Physics, Chemistry) ajira zake zinapatikanaje kirahisi na kwa wingi?
Kumbuka kutofautisha degree ya Ualimu wa Maths/Physics/Chemistry na Degree ya Maths/Physics/Chemistry.
Hii fani nzito sana inabd uwe chawa promax na upige GPa ya maana kutoboaAu mtu anasoma international relations cjui anataka ali relate na nani
Hapa tunazingumzia Elimu ya chuo kikuu kwa level ya kuanzia degree wala sio umuhimu wa elimu moja kwa moja. Narudia tena, kwa sasa degree kwa 90% haina mchango wowote kwenye issue ya kupata ajira au kipato moja kwa moja. Ni kupoteza rasimali tu.Elimu ni uwekezaji mzuri sana tu.
Kama una fursa ya kusoma no vyema uitumie vizuri, usiache kwa kigezo kuwa kazi hakuna.
Halafu hiyo elimu pia inapanua ufahamu wako na inaweza kukusaidia pindi utakapoamua kujikita kwenye sekta zingine za uzalishaji.
Sio kwenye level ya ajira tu, hata kwenye kipato, maisha ya kila siku, ustaarabu nk, kwa 90% wahitimu wa degree, hizo degree zao hazina mchango wowote katika maisha ya kila siku, kwao wenyewe na jamii.
After all, kwa 100% watu walikwenda kusoma degree ili wapate ajira au kipato. Sasa wakikosa ajira na kipato kupitia hizo degree zao, hapo maana yake ni wastage of resource.
Mjumbe wewe ni mrongo tena mrongo mkubwa. Hii blablabla yoooote ni yako, yako wewe, speak for yourself. Nina jirani zangu wengi tuu hawajui IFM wala SUA, wala darasani hawajawahi kuingia kabisa. Siyo kwamba wanakubaliana na wewe kwamba kusoma hakuna faida bali ni kwamba hawajapata fursa. Wewe umepata fursa kwa kiasi fulani ndiyo maana wao wakakosa. Ukianza kuwatukana hivi hawatakuelewa. Enzi za Nyerere ungefungwa kwa uhaini. Huo ni uhaini.Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Tunarudi pale pale.Kuna mtu kamaliza 2010 ila hadi leo hajapata ajira na kuna mwingine kutokea course hiyo hiyo wa 2022 kapata kazi mwaka huo huo.
Kwa hiyo nitakachomwambia mtu yoyote ni
1.kuwa nondo kwenye kile anachokisomea kwa sababu competition ipo stiff. Tena kama unaweza piga Gpa ya kushangaza fanya hivyo maana graduated programs za makampuni makubwa zipo nyingi ila exceptional grades zitakubeba
.
2. Connections connections, kupata mtu wa kukuambia "lete cv kuna gap sehemu flani ni muhimu sana"
.
3. Kuijua career yako mapema. Hili kosa mimi nililifanya pia kwa kusubiri nitoke chuo ndio niingie mjini. Haina formular hiyo, kuna watoto wa chuo unakutana nai kwenye hizi private companies wanapiga kazi na wanapendwa haswa kwa sababu hakuna attachment wala kuwalipa pakubwa. Kwa hiyo hizo likizo wanazopata sio za kulegeza mwili, ingia mjini mapema utengeneze cv na connections kabila hujamaliza chuo
.
4. Ukiwa chuo jichanganye kwenye clubs tofauti tofauti AISEC au YUNA, huko napo huwa kuna connections haswa za zile affiliated Org haswa ukiwa kiongozi na peformer
.
5. Develop soft skills, upo chuo na freedom kama yote. Acha kutumia muda wote kuangalia series. Jifunze hata graphic design, photography, videography, social media management, copywriting na vingine ambavyo vingi vipo YouTube
.
6. Online presence haswa twitter na linkedin, kajichanganye huko, post post vitu vyako. Interact na watu vizuri maana huko napo kuna connections za bure haswa kwa msio na powerful surnames. Onesha uwezo sio unakaa unachekacheka tu
.
uliyafanya haya utakuwa ahead of the game mtaani na kwenye career maana ndio dunia inapoelekea ila graduates wachache wanayajua haya. Sijatunga ila nimeviishi na nimeona kwa watu wengine vikifanya kazi 100%, so, silaumu mtu ila nimewapa elimu kiasi
Sawa mimi ni uhaini, vipi connection za ajira hapo ulipi zipo ili vijana waliohitimu degree wapate ajira? Kuna utiriri wa wahitimu wa UDSM, IFM, SUA, UDOM ninao mtaani wanasaka ajira mwaka tatu huu na hakuna dalili.Mjumbe wewe ni mrongo tena mrongo mkubwa. Hii blablabla yoooote ni yako, yako wewe, speak for yourself. Nina jirani zangu wengi tuu hawajui IFM wala SUA, wala darasani hawajawahi kuingia kabisa. Siyo kwamba wanakubaliana na wewe kwamba kusoma hakuna faida bali ni kwamba hawajapata fursa. Wewe umepata fursa kwa kiasi fulani ndiyo maana wao wakakosa. Ukianza kuwatukana hivi hawatakuelewa. Enzi za Nyerere ungefungwa kwa uhaini. Huo ni uhaini.
Inajalisha sana. Vyuo vya 3rd, 2nd na 1st World viko tofauti.Haijarishi umesoma chuo gani, iwe Tanzania (UDSM, SAUT, SUA, UDOM, IFM, AIA etc), India, China, Russia, Canada, USA, UK nk, msoto wa kitaa upo pale pale.
From your perspective!. Muktadha wa elimu ni kuntengeneza mtaalamu tu. Kipato na ajira ni sekta nyingine.Sio kwenye level ya ajira tu, hata kwenye kipato, maisha ya kila siku, ustaarabu nk, kwa 90% wahitimu wa degree, hizo degree zao hazina mchango wowote katika maisha ya kila siku, kwao wenyewe na jamii.
After all, kwa 100% watu walikwenda kusoma degree ili wapate ajira au kipato. Sasa wakikosa ajira na kipato kupitia hizo degree zao, hapo maana yake ni wastage of resource.
Ajira na kipato havimilikiwa na mfumo wa elimuSio kwenye level ya ajira tu, hata kwenye kipato, maisha ya kila siku, ustaarabu nk, kwa 90% wahitimu wa degree, hizo degree zao hazina mchango wowote katika maisha ya kila siku, kwao wenyewe na jamii.
After all, kwa 100% watu walikwenda kusoma degree ili wapate ajira au kipato. Sasa wakikosa ajira na kipato kupitia hizo degree zao, hapo maana yake ni wastage of resource.
Ndugu yangu, soma mada utanielewa.Kufanikiwa Kwa MTU huwa kuna hitaji uwe na malengo na sio aina ya degree au kazi.
Kila njia inatoka cha muhimu fata mwelekeo sahihi .
Mfano Kiswahili watu wanakidharau Ila ndo kimewapa watu maisha makubwa sana .
Hata ukiwa bodaboda ukiwa na malengo utafika mbali Sana MTU mweusi hana malengo na ndo uchawi wake ulipo.
Kuna Andiko naliandaa ambalo litasema kazi yoyote huwa ni kianzio cha mafanikio na sio mafaniko halisi
Ins faida Gani sasa?Accounting really????