Perfect mkuu!Our Engineers are mostly administrators...sasa projects zinahitaji administrators wangapi...only a few ndiyo maana wapo na wanakosa ajira.
Fundi mwashi wa VETA au fundi mchundo mwenye FTC can easily get a job kuliko engineer.
Kosa lilifanyika kuua mfumo wa elimu wa tabaka la kati la watendaji: Diploma na FTC holders ambao ndiyo wanashinda na kulala sites...tumezalisha administrators wengi(degree holders) na sasa hatuna pa kuwapeleka.
Na hakuna miujiza wala maombi...we just need to go back, restructure and ensure we do the basics right!
Ndiyo. Tunao kibao mtaani na wanaendeshwa bodaboda tu. Mifukoni mwao smart gin hazikosekani ili kujiliwaza na ni ni wapiga nyeto sana. Ukialenda vyumbani mwao pananuka sabuni kila ukutaMaths, physics, chemistry?
Civil engineering?
Kwamba havina soko?
Practical hawafanyi zaidi ya kujifunza kuandika BOQ pekeeMimi siamini kama civil engineer atakosa cha kufanya, siamini kabisa.
Hali ni mbaya aiseeUkweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Arabic unakusudia nn yan????20. Mineral processing engr
21. Bachelor of art with education
22. Fine art and design
23. Statistics
24.Mathematics
25.Physics
26. Civil engr
27. Chemistry
28. Agroeconomy
29. Biochemistry
30. French
31. Arabic
32.
33.
34.
1. Kwa kutumiq ujuzi na maarifa walioyapata vyuoni.Wakaboreshe shughuli zinazofanywa na wazazi wao 1. kwa namna ipi?
Kilimo ndio shughuli kubwa vijijini, mhitimu anamaliza chuo 2. hana mtaji wowote, unataka aende vipi kuboresha kilimo cha wazazi? 3. kwa njia zipi? awasaidie kulima 4. kwa jembe la mkono?
Mapinduzi ya viwanda yanategemea sera nzuri za kodiTunahitaji mapinduzi halisi ya viwanda(industrial revolution), hatuhitaji kuwa na wahitimu wa vyuo vikuu kwa wingi huo, tunahitaji wahitimu wa vyuo vya kati wafanye kazi kwenye viwanda.
Engineer mwenye shahada na mwenye fani yake kwa level ya diploma au cheti, atakayeleta thamani ni mwenye diploma.
Tunahitaji viwanda, otherwise tuna bomb kubwa.
Mapokeo ya imani zenu za dini yasiwatoe ufahamu, kwa hiyo wewe umeona arabic tu?, french na linguistic haujaziona?
Darasa la 4=sawa na kutokwenda shule kabisaUkweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Shida bongo waajiri ni wachache,wahitimu wengi na fani nyingi hazimfanyi muhimtimu aweze kujiajiri.Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Maarifa yasiyo na mtaji ni sawa na kazi bure.1. Kwa kutumiq ujuzi na maarifa walioyapata vyuoni.
2. Mtaji walio ao nia elimu. Elimu ni mtaji mkubwa sana. Wanapaswa kuibadili elimu kuwa fedha. Kama hawawezi kufanya hivyo basi walipenda shule kukua tu.
3. Angalia majibu ya namba 2.
4. Kumbe ulitaka uanze kwa combine harvester? Anzia jembe la mkono Kisha likupeleke kwenye combine harvester. Hivi mbona mnajiona special sana ? Ninyi kina nani hata mshindwe kutumia jembe la mkono? Kwahiyo mnaona ni bora kudanga kuliko kulima kwa jembe la mkono?
Hawa waende veta kupata ujuzi hayo madegree hayana tija yoyote yanazalisha bodaboda wazee.Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Hazijapatiwa tu mahala kaka. Mimi zote hiz nitazihitaji badaeKuna kitu Kinaitwa Social work, hiyo ni Kozi ya hovyo
Haya sasa tuambie, inakuwaje karibu 90% ya wahitimu wa degree wako njia panda kusaka ajira na vipato huku wakiambulia patupu?Siyo kweli. Ukisoma literature kuhusu 'the work of the future' kuna msisitizo kwamba besides technical skills (na siyo without technical skills - ambazo mtu hupata wakati wa kusomea taaluma fulani) mfanyakazi anatakiwa awe na soft skills (employability, 21st century, transferable skills). Yaani waajiri wanataka mtu mwenye both types of skills kuliko mwenye aina moja tu.