Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Our Engineers are mostly administrators...sasa projects zinahitaji administrators wangapi...only a few ndiyo maana wapo na wanakosa ajira.

Fundi mwashi wa VETA au fundi mchundo mwenye FTC can easily get a job kuliko engineer.

Kosa lilifanyika kuua mfumo wa elimu wa tabaka la kati la watendaji: Diploma na FTC holders ambao ndiyo wanashinda na kulala sites...tumezalisha administrators wengi(degree holders) na sasa hatuna pa kuwapeleka.

Na hakuna miujiza wala maombi...we just need to go back, restructure and ensure we do the basics right!
Perfect mkuu!
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Hali ni mbaya aisee
 
Wakaboreshe shughuli zinazofanywa na wazazi wao 1. kwa namna ipi?

Kilimo ndio shughuli kubwa vijijini, mhitimu anamaliza chuo 2. hana mtaji wowote, unataka aende vipi kuboresha kilimo cha wazazi? 3. kwa njia zipi? awasaidie kulima 4. kwa jembe la mkono?
1. Kwa kutumiq ujuzi na maarifa walioyapata vyuoni.

2. Mtaji walio ao nia elimu. Elimu ni mtaji mkubwa sana. Wanapaswa kuibadili elimu kuwa fedha. Kama hawawezi kufanya hivyo basi walipenda shule kukua tu.

3. Angalia majibu ya namba 2.

4. Kumbe ulitaka uanze kwa combine harvester? Anzia jembe la mkono Kisha likupeleke kwenye combine harvester. Hivi mbona mnajiona special sana ? Ninyi kina nani hata mshindwe kutumia jembe la mkono? Kwahiyo mnaona ni bora kudanga kuliko kulima kwa jembe la mkono?
 
Tunahitaji mapinduzi halisi ya viwanda(industrial revolution), hatuhitaji kuwa na wahitimu wa vyuo vikuu kwa wingi huo, tunahitaji wahitimu wa vyuo vya kati wafanye kazi kwenye viwanda.

Engineer mwenye shahada na mwenye fani yake kwa level ya diploma au cheti, atakayeleta thamani ni mwenye diploma.

Tunahitaji viwanda, otherwise tuna bomb kubwa.
Mapinduzi ya viwanda yanategemea sera nzuri za kodi
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Darasa la 4=sawa na kutokwenda shule kabisa
Darasa la 7= sawa na Sekondari
Degree = sawa na kumaliza sekondari


Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Shida bongo waajiri ni wachache,wahitimu wengi na fani nyingi hazimfanyi muhimtimu aweze kujiajiri.

Fani za hivyo zipo vyuo vya ufundi kama VETA tu.

Suluhisho,vyuo vyetu vikuu viweze kubuni mitaatala yenye kuwazesha wahitimu kujiajiri kwa kiasi kikubwa kuliko kuajiriwa
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=EkcGwc-M308&pp=ygUTUm9jayBzdGFycyB3aXRoIHBoZA%3D%3D

Hao ni rock stars wenye PhDs

Rowan Atkinson (Mr Bean) Masters in Engineering.

Ukiingia mtaani nchi za wenzetu ni kawaida sana kukuta waiters, shop assistant na kwenye kazi zingine ambazo unskilled kuna watu wana degrees mpaka masters.

Mshkaji wangu ana undergraduate degree ya ‘mass communication’ na maters ya ‘international relationship’ kazi anazofanya ni za majikoni toka apate degree zake 20 years ago na biashara za hapa na pale zikikwama anarudi jikoni.

Acheni kukariri ukishapata degree ajira ni halali yako.
 
1. Kwa kutumiq ujuzi na maarifa walioyapata vyuoni.

2. Mtaji walio ao nia elimu. Elimu ni mtaji mkubwa sana. Wanapaswa kuibadili elimu kuwa fedha. Kama hawawezi kufanya hivyo basi walipenda shule kukua tu.

3. Angalia majibu ya namba 2.

4. Kumbe ulitaka uanze kwa combine harvester? Anzia jembe la mkono Kisha likupeleke kwenye combine harvester. Hivi mbona mnajiona special sana ? Ninyi kina nani hata mshindwe kutumia jembe la mkono? Kwahiyo mnaona ni bora kudanga kuliko kulima kwa jembe la mkono?
Maarifa yasiyo na mtaji ni sawa na kazi bure.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Hawa waende veta kupata ujuzi hayo madegree hayana tija yoyote yanazalisha bodaboda wazee.
 
 
Nilishawahi kuandika humu siku moja kuanzia form 4, shule ziwe na kitengo cha student advice kwa wanaotarajia kufanya mitihani kuwaeleza ugumu wa kuingia combo wanazotaka A level na uhalisia wa job market.

Same thing A level kuwe na student advise kila shule kuwaambia uhalisia wa degree wanazoenda somea na job market. Walau hawa wanafunzi wawe na option za technical colleges watoke na skills ambazo ni useful katika kujiajiri. Kuliko kupoteza miaka mitatu kwenda kusoma degree ya sociology.

Hila kwa accountant kukosa kazi Tanzania ni uzwazwa, watu wote wale kariakoo wanaosumbuliwa na TRA utakosa kweli watu 200 wa kuwafanyia hesabu miji mikubwa kila mtu unatoza laki tu.

Somethings are beyond me

Acheni kukariri degree zina halalisha ajira baadae, haipo hivyo duniani.
 
Haya sasa. Plan zangu zikienda kama navyofikiri zitakwenda, nitaongeza ajira. Hasa za watu ambao umewataja hapo..ila wawe competent kwel sio maghumashi.

Serikal inapaswa kutuangalia sana na kutu favour sie wajasiriamal ambao tunaweza angalau kuajiri wasomi kwa kiasi kikubwa.
 
Siyo kweli. Ukisoma literature kuhusu 'the work of the future' kuna msisitizo kwamba besides technical skills (na siyo without technical skills - ambazo mtu hupata wakati wa kusomea taaluma fulani) mfanyakazi anatakiwa awe na soft skills (employability, 21st century, transferable skills). Yaani waajiri wanataka mtu mwenye both types of skills kuliko mwenye aina moja tu.
Haya sasa tuambie, inakuwaje karibu 90% ya wahitimu wa degree wako njia panda kusaka ajira na vipato huku wakiambulia patupu?
 
Back
Top Bottom