Kwa sasa kama una addiction na intaneti katika simu, itabidi upate therapy maana utafilisika

Kwa sasa kama una addiction na intaneti katika simu, itabidi upate therapy maana utafilisika

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Screenshot_20241002-112927.png

Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75.

Matter of fact, siku hizi watu wananunua bando la internet roho zikiwa jujuu maana hawakawii kutuma ya meseji ya bando limeisha.

Vifurushi vimekuwa ghali, internet imekuwa kama "luxury good" sasa so kama una uraibu utajikuta umetumia pesa ndefu sanaaaaa katika manunuzi ya bando ambayo inaweza kuumiza bajeti yako finyu.

Introverts wenzangu ambao most of the time mmeinamishia kichwa simu itabidi mzoee kulimit muda katika simu ila kama mfukoni mambo poa its all good.
 
View attachment 3112980

Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75.

Matter of fact, siku hizi watu wananunua bando la internet roho zikiwa jujuu maana hawakawii kutuma ya meseji ya bando limeisha.

Vifurushi vimekuwa ghali, internet imekuwa kama "luxury good" sasa so kama una uraibu utajikuta umetumia pesa ndefu sanaaaaa katika manunuzi ya bando ambayo inaweza kuumiza bajeti yako finyu.

Introverts wenzangu ambao most of the time mmeinamishia kichwa simu itabidi mzoee kulimit muda katika simu ila kama mfukoni mambo poa its all good.
Kama unashinda tiktok, youtube, instagram lazima liishe
 
View attachment 3112980

Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75.

Matter of fact, siku hizi watu wananunua bando la internet roho zikiwa jujuu maana hawakawii kutuma ya meseji ya bando limeisha.

Vifurushi vimekuwa ghali, internet imekuwa kama "luxury good" sasa so kama una uraibu utajikuta umetumia pesa ndefu sanaaaaa katika manunuzi ya bando ambayo inaweza kuumiza bajeti yako finyu.

Introverts wenzangu ambao most of the time mmeinamishia kichwa simu itabidi mzoee kulimit muda katika simu ila kama mfukoni mambo poa its all good.
".......Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75......."

👆🏻👆🏻👆🏻 mkuu mimi ninaona ujiongelee wewe
 
Back
Top Bottom