Kwa sasa kama una addiction na intaneti katika simu, itabidi upate therapy maana utafilisika

Kwa sasa kama una addiction na intaneti katika simu, itabidi upate therapy maana utafilisika

Internet unga bando maalum

Halotel elfu 5 GB 4 week

Elfu 10 GB 9 dak kibao mwez
Jee internet ina kasi au mauzauza tu, maana mie huunga GB za elfu 5 kwa week napata GB 4 lkn internet mtihani hasa kwa watsapp. Sasa sijui ni setting ya simu
 

Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75.

Matter of fact, siku hizi watu wananunua bando la internet roho zikiwa jujuu maana hawakawii kutuma ya meseji ya bando limeisha.

Vifurushi vimekuwa ghali, internet imekuwa kama "luxury good" sasa so kama una uraibu utajikuta umetumia pesa ndefu sanaaaaa katika manunuzi ya bando ambayo inaweza kuumiza bajeti yako finyu.

Introverts wenzangu ambao most of the time mmeinamishia kichwa simu itabidi mzoee kulimit muda katika simu ila kama mfukoni mambo poa its all good.
Tumekuskia Sisi introvert wenzio
 
Jee internet ina kasi au mauzauza tu, maana mie huunga GB za elfu 5 kwa week napata GB 4 lkn internet mtihani hasa kwa watsapp. Sasa sijui ni setting ya simu
Halotel huduma yao ni mbovu ndiyo maana vifurushi vyao cheap. Hizo GB wanazosema ni ushuzi mtupu, spidi konokono
 
Ninahusika na uungaji wa vifurushi vya intaneti vya gharama nafuu, kwa anayehitaji unaweza kunicheki kwa namba
0673143968
 
Back
Top Bottom