Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoka kudiliti Tiktok na Insta Jana.Kama unashinda tiktok, youtube, instagram lazima liishe
Waambie majamaa wa mtandao wawe wanakuubga vifurushiNimetoka kudiliti Tiktok na Insta Jana.
Haiwezekeni matumizi ya bundle yawe sawa na Kodi yangu ya pango [emoji2]
Msaada tutani Kaka, hii ikoje maana mimi ni muhanga wa InternetLine maalum Kwa wafanyabiashara,,
Nenda haloshop utapata
Ukitaka Data pekee au mix unaunga Tu.
Usichukie ya Data tu
Hao majamaa me mbona naonaga kama matapel kiongoz huwa wanaunga kwl?Laini ya kawaida .
Mimi nina majamaa wananiungaga mabando ta internet.
GB 10 ELFU 10K
GB 15 Elfu 15.
GB 4 ELFU 5.
Nisgasahau stress za bando
Mimi na mwaka ninaungwa na hao watu nikupe namba za waaminifu.Hao majamaa me mbona naonaga kama matapel kiongoz huwa wanaunga kwl?
Nipe ufafanuzi zaidi mwanawane nianze kutumia hii line yangu ya halotelInternet unga bando maalum
Halotel elfu 5 GB 4 week
Elfu 10 GB 9 dak kibao mwez
Jee internet ina kasi au mauzauza tu, maana mie huunga GB za elfu 5 kwa week napata GB 4 lkn internet mtihani hasa kwa watsapp. Sasa sijui ni setting ya simuInternet unga bando maalum
Halotel elfu 5 GB 4 week
Elfu 10 GB 9 dak kibao mwez
Menu gani mkuuInternet unga bando maalum
Halotel elfu 5 GB 4 week
Elfu 10 GB 9 dak kibao mwez
Tumekuskia Sisi introvert wenzio
Siku hizi kila mtu anaogopa meseji ya asilimia 75.
Matter of fact, siku hizi watu wananunua bando la internet roho zikiwa jujuu maana hawakawii kutuma ya meseji ya bando limeisha.
Vifurushi vimekuwa ghali, internet imekuwa kama "luxury good" sasa so kama una uraibu utajikuta umetumia pesa ndefu sanaaaaa katika manunuzi ya bando ambayo inaweza kuumiza bajeti yako finyu.
Introverts wenzangu ambao most of the time mmeinamishia kichwa simu itabidi mzoee kulimit muda katika simu ila kama mfukoni mambo poa its all good.
Halotel huduma yao ni mbovu ndiyo maana vifurushi vyao cheap. Hizo GB wanazosema ni ushuzi mtupu, spidi konokonoJee internet ina kasi au mauzauza tu, maana mie huunga GB za elfu 5 kwa week napata GB 4 lkn internet mtihani hasa kwa watsapp. Sasa sijui ni setting ya simu