dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Angalau wanajitahidi kuhoji vitu vyenye maslahi na nchi.
Leo wamembananisha sana yule afsa wa NIDA mpaka nimefurahi.
pia wamehoji vizuri lile swala la fine ya 75b. Hawa ndo wanastahili teuzi kama kweli mamlaka za uteuzi ziko makini.
Achana na takataka zingine kazi kujikomba komba tu ili wapate teuzi.
Usije sema sijakwambia.
Uzi tayari.
Leo wamembananisha sana yule afsa wa NIDA mpaka nimefurahi.
pia wamehoji vizuri lile swala la fine ya 75b. Hawa ndo wanastahili teuzi kama kweli mamlaka za uteuzi ziko makini.
Achana na takataka zingine kazi kujikomba komba tu ili wapate teuzi.
Usije sema sijakwambia.
Uzi tayari.