Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Hapa katikati dola ilipaa sana na hata Rais Samia alikiri wazi kuwa shilingi imeadimika wakatika wa msiba wa Lawrence Mafuru
==
"Miezi michache iliyopita kuanzia mwezi wa pili mpaka wa saba na wanane dola ilikuwa inatafutwa kwa tochi Tanzania hata ukienda benki watakupa kiasi fulani cha dola tu walikuwa hawatoi dola lakini kuna muujiza umefanyika kwa sasa mabenki yanatafuta shilingi tena na sio dola hivyo ukitaka shilingi ndio mtihani lakini dola unaipata kwa urahisi" - Gabriel Mwang'onda - Mchambuzi wa masuala ya Kiuchumi
Hapa katikati dola ilipaa sana na hata Rais Samia alikiri wazi kuwa shilingi imeadimika wakatika wa msiba wa Lawrence Mafuru
==
"Miezi michache iliyopita kuanzia mwezi wa pili mpaka wa saba na wanane dola ilikuwa inatafutwa kwa tochi Tanzania hata ukienda benki watakupa kiasi fulani cha dola tu walikuwa hawatoi dola lakini kuna muujiza umefanyika kwa sasa mabenki yanatafuta shilingi tena na sio dola hivyo ukitaka shilingi ndio mtihani lakini dola unaipata kwa urahisi" - Gabriel Mwang'onda - Mchambuzi wa masuala ya Kiuchumi