Kwa sasa Nchi imechangamka, watu wanafunguka bila uoga. Hongera Rais Samia

Kwa sasa Nchi imechangamka, watu wanafunguka bila uoga. Hongera Rais Samia

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Kwa kweli tusipompongeza mama kwa utawala wake tutakuwa hatuna shukrani, tumeishi na utawala uliopita tukaona wafanyabiashara na matajiri walikua maadui, wakabinywa wakashindwa kufanya miradi ya maendeleo. Wakashindwa hata kujenga nyumba zao.

Kwa Samia kuna uhuru na njia kibao za kupiga, akili yako ujanja wajo ndio utajiri wako. Ndio maana majumba makali na ya biashara yanajengwa na kuendelezwa kila kona ya nchi. Hiki ndio kipindi cha kufanya mambo ya maana kama ushapiga dili lako. Kuna baa, kuna grosari kila baada ya nyumba 2 na zote zinauza, kwanini tusiseme hela imeingia mtaani? Kuna ofisi kibao za mikopo na watu wanakopa, kuna apps kibao za mikopo yan kiufupi mambo yamekuwa rahisi kuliko mwanzoni.

DP world wanachukua bandari ili kuondoa urasimu uliokuwepo na kuondoa ulegevu wote mambo yaende haraka, natamani sana hata ATCL, TRC NA TTCL yote yabinafsishwe ili yaboreke na yajiendeshe kwa faida.

Kipindi cha mama sio cha kulia tena ni cha kupiga, atakuja rais kama Hayati Magufuli atabana na hali itakuwa ngumu zaidi. Pigeni kazi pigeni dili acheni kulia lia.
 
Nchi hujengwa na raia wake. Ukitaka kuona nchi ikiwa nzuri, fanya raia wako wawe matajiri ila wasiwe wezi. Wafanye kazi halali za maendeleo walipe kodi.
 
Yabinafsishwe Kama mkapa alivyo binafsishaga vitu vya serikali, mahotel, viwanda, majumba mengi ya serikali nk, watu wanaofanya kazi kwenye hivyo viwanda au mahotel yaliyobinafsishwa hata mmoja anayefanya kazi huko ulishawai kuwaona au kuongea nao wanavyoteseka na manyanyaso mshahara kiduchu, trc lilibinafshishwaga Ila wafanyakazi walikuwa na umoja, walipambana na waligomea kazi wafanyakazi wa pale, na mwekezaji alishindwa walikuwaga wahindi wakarudi kwao.
 
Nchi hujengwa na raia wake. Ukitaka kuona nchi ikiwa nzuri, fanya raia wako wawe matajiri ila wasiwe wezi. Wafanye kazi halali za maendeleo walipe kodi.
Kabisa, serikali peke yake haiwezi
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Yabinafsishwe Kama mkapa alivyo binafsishaga vitu vya serikali, mahotel, viwanda, majumba mengi ya serikali nk, watu wanaofanya kazi kwenye hivyo viwanda au mahotel yaliyobinafsishwa hata mmoja anayefanya kazi huko ulishawai kuwaona au kuongea nao wanavyoteseka na manyanyaso mshahara kiduchu, trc lilibinafshishwaga Ila wafanyakazi walikuwa na umoja, walipambana na waligomea kazi wafanyakazi wa pale, na mwekezaji alishindwa walikuwaga wahindi wakarudi kwao.
Mfumo wa sasa ni tofauti na wa zamani, makosa hayawezi kujirudia
 
Kabisa, serikali peke yake haiwezi
Kweli boss, Serikali pekeyake haiwezi sababu inajukumu kubwa, inatakiwa itoe ulinzi na huduma/miundombinu ili raia waweze kutengeneneza kipato kuifanya serikali iweze kutoa ulinzi na huduma/miundombinu.
 
Kwa kweli tusipompongeza mama kwa utawala wake tutakuwa hatuna shukrani, tumeishi na utawala uliopita tukaona wafanyabiashara na matajiri walikua maadui, wakabinywa wakashindwa kufanya miradi ya maendeleo. Wakashindwa hata kujenga nyumba zao.

Kwa Samia kuna uhuru na njia kibao za kupiga, akili yako ujanja wajo ndio utajiri wako. Ndio maana majumba makali na ya biashara yanajengwa na kuendelezwa kila kona ya nchi. Hiki ndio kipindi cha kufanya mambo ya maana kama ushapiga dili lako. Kuna baa, kuna grosari kila baada ya nyumba 2 na zote zinauza, kwanini tusiseme hela imeingia mtaani? Kuna ofisi kibao za mikopo na watu wanakopa, kuna apps kibao za mikopo yan kiufupi mambo yamekuwa rahisi kuliko mwanzoni.

DP world wanachukua bandari ili kuondoa urasimu uliokuwepo na kuondoa ulegevu wote mambo yaende haraka, natamani sana hata ATCL, TRC NA TTCL yote yabinafsishwe ili yaboreke na yajiendeshe kwa faida.

Kipindi cha mama sio cha kulia tena ni cha kupiga, atakuja rais kama Hayati Magufuli atabana na hali itakuwa ngumu zaidi. Pigeni kazi pigeni dili acheni kulia lia.
Ni kwel kbs uwekezaji ni jambo muhimu pia matajiri wanapaswa wawekwe karibu ili kuleta tija hasa kweny mapato na sio wizi!! NB; Kuhusu kumpa hongera, sidhan cz huo ndio wajibu wake pale kitini!!
 
😅😅 Serikali haifanya biashara hii kauli akitamka kiongozi mmoja akitaka taasisi fulani ipokonywe kazi fulani...Rais akasema sawa akapiga mahesabu akaona sawa ni bora afanye kwa sehemu nyingi kwa maslahi mapama hapa kawasikiliza bila ya hiyana .

Akaanza mchakato baadae wanakuja tena na hoja za kitoo ...Rais shikilia hapo hapo kwa maendeleo mapama ya nchi.
 
Kwa kweli tusipompongeza mama kwa utawala wake tutakuwa hatuna shukrani, tumeishi na utawala uliopita tukaona wafanyabiashara na matajiri walikua maadui, wakabinywa wakashindwa kufanya miradi ya maendeleo. Wakashindwa hata kujenga nyumba zao.

Kwa Samia kuna uhuru na njia kibao za kupiga, akili yako ujanja wajo ndio utajiri wako. Ndio maana majumba makali na ya biashara yanajengwa na kuendelezwa kila kona ya nchi. Hiki ndio kipindi cha kufanya mambo ya maana kama ushapiga dili lako. Kuna baa, kuna grosari kila baada ya nyumba 2 na zote zinauza, kwanini tusiseme hela imeingia mtaani? Kuna ofisi kibao za mikopo na watu wanakopa, kuna apps kibao za mikopo yan kiufupi mambo yamekuwa rahisi kuliko mwanzoni.

DP world wanachukua bandari ili kuondoa urasimu uliokuwepo na kuondoa ulegevu wote mambo yaende haraka, natamani sana hata ATCL, TRC NA TTCL yote yabinafsishwe ili yaboreke na yajiendeshe kwa faida.

Kipindi cha mama sio cha kulia tena ni cha kupiga, atakuja rais kama Hayati Magufuli atabana na hali itakuwa ngumu zaidi. Pigeni kazi pigeni dili acheni kulia lia.
Wenyeviti wa Vijiji hamna wanachofanya Bora wachukue diip weldii
 
Back
Top Bottom