Kwa sasa nchi nzima iko chini ya udhibiti wa dola, iwe baa ya nyota tano au kilabu cha komoni na chibuku, kijiwe cha boda,.gesti, wako kila kona

Kwa sasa nchi nzima iko chini ya udhibiti wa dola, iwe baa ya nyota tano au kilabu cha komoni na chibuku, kijiwe cha boda,.gesti, wako kila kona

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Now, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
 
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Niw, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
Kuna mtu kanipigia simu leo anajifanya ananijua. Yeye anasema yuko morogoro, nahsi jf wako wengi sana
 
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Now, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
Sasa watekaji wote lazima wakamatwe potepote walipo wakiwakamata usiache kuja na kamrejesho humu.
 
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Now, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
Kwani Kwa wastani, askari mmoja anahudumia raia wangapi?

Halafu watumishi wa Serikali jumla ni lakini na nusu,

Sasa hao Majeshi hawazidi elfu 30, wananchi ni ml 60,

Sasa huo ulinzi wa kutapakaa Kila Chocho Kila Mahali labda waazime majini pia kushika doria.

Acha vitisho, nguvu ya Dola asili ni wananchi.
 
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Now, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
Kumbe CHADEMA sio mchezo eti?
 
Hao division IV wangetumia nguvu kama hizo kufuatilia mambo kama haya ningewaona wa maana sana.
IMG_20240611_163734.jpg
 
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali.

Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya kila mtaa, ndani kabisa ya maisha ya kila mtu. Now, we witness the state doing its job ambayo watu walidhani hawaiwezi.

Watch out. Kila gesti, baa, saloon, kijiwe cha boda, chips,wasap group na kila kitu, dont risk please.

Kila gesti au hotel ina polisi wasiopungua wawili, na kila sehemu kuna mtu
Dola ni maroboti au watu kama sisi?
Kuteka na kuua watu siyo threat
Kupiga kelele dhidi ya utekaji na uuaji wa raia ni tishio la amani

Polisi wanahakikisha utekaji na uuaji wa raia unafanyika kwa amani na haturuhusiwi kulalamika
 
Back
Top Bottom