Kwa Sasa punyeto itatufaa sana

Mama mjamzito anatakiwa kula chakula chenye virutubisho vyote, yaani wanga, protini, vitamini, mafuta, madini na chuma na foliki. Kwahiyo vijana wenzangu kama suala tuu la msosi bado ni shida basi endelea kutumia kondomu.
 
Mantak chia anakwambia kadri unavyomwaga manii ndivo jinsi unavyopunguza uhai ndani yako....

but hatuko hapa kuishi milele....

Keep fucking urself bro
Hii ni kumwaga kwa punyeto au hata ukidinya?
 
Hii ni kumwaga kwa punyeto au hata ukidinya?
Hata ukidinya mzee baba... search google kitu inaitwa sexual kung fu...

Hizo ni mbinu za martial arts na taoist way of life... unatakiwa kumwaga pale tu unapotaka kutengeneza kiumbe kingine...

Normal sex unatakiwa kuorgasm bila kuejaculate hizo sperms out....
 
Mi Hata uwezo Wa punyeto sina,maana mafuta na sabuni kuyapata siwezi...Nategemea ndoto nyevu tu asahiv
 
fafanua kidgo mzee baba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu nyingine inayifanya wanawake waishi miaka mimgi kuliko wanaumeni hiyo.... wanaume tunamwaga sana mbegu bila mpangilio wakati wao wanaweza kukaa hata miaka bila kuejaculate....
unaweza kufanya ngono pasipo kumwaga hizo manii ukaorgasm tu kama wanawake ila ni ngumu it takes a lot of practice ndo maana inaitwa sexual kung fu
 
Pole sana...

Hayo yote ni maisha, ipo siku yatapita, mjaa leo unahangika ipo siku utafanikiwa...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…