Kwa sasa siasa za CCM zimeghubikwa na makundi

Kwa sasa siasa za CCM zimeghubikwa na makundi

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Kwa sasa siasa za CCM zimeghubikwa na makundi makubwa ambapo kundi la serikali ya awamu ya sita hasa vijana wake wanaoamini CCM ni ya kwao akiwemo NAPE MOSSES NNAUYE wanaweza kuligawa taifa kwa maneno yao kila siku kutoa maneno ya dhihaka kwa kiongozi mkubwa aliyeondoka tarehe 17 March 2021 ikumbukwe kuwa kila binadamu atapita hapa duniani na kila binadamu ataondoka katika njia yake dhana hii ya huyu kijana ambaye inaonesha ndiye amepewa kandarasi ya kumtusi aliyekuwa mkuu wa nchi DR. JOHN POMBE MAGUFULI halina afya kwa chama na serkali kwa ujumla.

Dhana hii si kwamba inawaumiza kundi la ccm tu ambao walikuwa kipenzi chao katka serikali ya awamu ya tano bali wapo viongozi wa juu wa serikali na wananchi kwa ujumla ambao hadi sasa wanahuzuni na kifo hicho kilichotokea mwaka jana.

Viongozi wa serikali huyo kijana wenu awe na akiba ya maneno hakuna aijuaye kesho msemo huu unawaumiza waliokuwa wafuasi wa magufuli hata nyie tafakarini kuhusu msemo huo. Nani anamiliki ya hii nchi mimi nachojuwa hii nchi ni ya watanzania wote sasa demkeni tu kwa maneno ya kejeli yasiyonatija kila mtu anaona kinachoendelea.
 
Unayaweka wapi makundi ya Mnowe, H. Rungwe, Zitto, Mbatia na wengine? Pengine useme makundi uliyoyataja yataigawa CCM.
 
Hakuna cha makundi wala nini, ni mbinu tu utasikia chama kipya kimeundwa na wachache kuhamia…. lengo kuhadaa umma na kupoteza maboya upinzani.
 
Mkuu punguza speed. Andika kwa kutilia bila mihemko.
 
Nepi bado ana uchungu wa kutumbuliwa na Magu
 
Kwa kuna shida Gani ccm ikigawika? Yaani unataka kuzuia kifo Cha ccm? Acha ubinafsi, Kama Nyerere, Mkapa na Magufuli wamekufa ccm inasubiri nini?
 
Nape kazaliwa na Tabia ya kuropoka ropoka

ushawahi kusikia Ridh1 anamtukana au kumkejeli Mwanasiasa yeyote?

Nape aliumizwa kuliko alivyoumizwa Ridh?

yule Kijana ni tabia yake wala haiakisi tabia ya jamii au taasisi anayoihudumia

alimkejeli na kumdhalilisha mtu asiejua kutukana Edward Lowassa ndio ashindwe kwa Hayati?

kwanza ana kauli mbilimbili

aliwahi kusema alipoteuliwa na Jakaya kwenda kuwa DC Masasi akasita sita hadi Jakaya akamwambia ndani ya tumbo la Shari inawezekana ikapatikana kheri…juzi hapa kabadilika tena anasema u DC wa Masasi alitupiwa mchongo huo na Benard ili awe karibu aje kuwa Mbunge wa huko kwao.
 
Makundi yalianzishwa na Jiwe na sasa wengine wanaendeleza tu, alikuwa mtu wa ovyo sana.
 
Kwa sasa siasa za CCM zimeghubikwa na makundi makubwa ambapo kundi la serikali ya awamu ya sita hasa vijana wake wanaoamini ccm ni ya kwao akiwemo NAPE MOSSES NNAUYE wanaweza kuligawa taifa kwa maneno yao kila siku kutoa maneno ya dhihaka kwa kiongozi mkubwa aliyeondoka tarehe 17march 2021 ikumbukwe kuwa kila binadamu atapita hapa duniani na kila binadamu ataondoka katika njia yake dhana hii ya huyu kijana ambaye inaonesha ndiye amepewa kandarasi ya kumtusi aliyekuwa mkuu wa nchi DR.JOHN POMBE MAGUFULI halina afya kwa chama na serkali kwa ujumla.

Dhana hii si kwamba inawaumiza kundi la ccm tu ambao walikuwa kipenzi chao katka serikali ya awamu ya tano bali wapo viongozi wa juu wa serikali na wananchi kwa ujumla ambao hadi sasa wanahuzuni na kifo hicho kilichotokea mwaka jana.viongozi wa serikali huyo kijana wenu awe na akiba ya maneno hakuna aijuaye kesho msemo huu unawaumiza waliokuwa wafuasi wa magufuli hata nyie tafakarini kuhusu msemo huo.NAni anamiliki ya hii nchi mimi nachojuwa hii nchi ni ya watanzania wote sasa demkeni tu kwa maneno ya kejeli yasiyonatija kila mtu anaona kinachoendelea.
Dogo,
Mbona huweki wazi Nape ametamka maneno gani na yamekuumiza vipi🤔
 
Back
Top Bottom