Kwa sasa Tanzania baada ya John Magufuli, basi ni Profesa Palamagamba Kabudi

Mwandishi naweza hata kubuni umri wake, lakini ajue mawazo yake yamepitwa na wakati ni wahenga tu kama yeye wanaoweza kumwelewa. Kizazi cha sasa hakiwezi kumwelewa kabisa. Political/economics wa enzi hizi. Sio wa kilia lia mabeberu mabeberu bali wewe unafitje kwenye Geo-politics and economically. Muda wa kubagua huyu alikuwa mkoloni wetu na huyu hivi hauta tutoa hapa tulipo. Nchi yetu inaweza kuzalishaje bidhaa zinazoweza kuuzika kwenye soko la wazi lenye ushindani wa kimataifa na sio kujilinda kwa vitu visivyo na mashiko. Mwananchi analima mazao yake hukumsaidia chochote unampangia bei na kumzuia asitafute masoko yake mwenyewe.
 
hv Kuna watu wanamini wazungu waliacha biashara ya utumwa kwasababu ya hizo harakati za kukomesha utumwa?WALIACHA KWASABABU YA UGUNDUZI WA MACHINE NGUVU KAZI HAIKUWA NA TIJA TENA ila laiti wa'gehitaji mpk leo biashara ingekuwepo
 
imagine msomi wa ngazi ya masters anaomba kazi indirect kwa kusifia visivyosifika je kwa asiyesoma afanyaje aiseeee hii nchi mpk aibu kwetu vijana
 
Yawwwwn 🤐
 
Huu upuuzi unatumalizia rasilimali akili.
 
Kabudi , bashiru, kigwangwala,nchemba ni wajamaa, wajamaa awatakiwi kupewa nchi uleta umasikini na udikteta nchini huwa bize kupambana na watu kuliko kupambana na maendeleo.
Twamuomba Mungu asitupatie mjamaa tena tumeteseka Sana yatosha.
 
Huyu huyu aliyesaidiwa kupata ubunge kwa njia ya dhurma!! Sheikh!!
 

Umesahau Rais Dr Magufuli alishawahi kusema kamwe hawezi kupendekeza raia aliyemzidi umri kuchukua uongozi wa Tanzania baada ya awamu ya tano? Kwa hiyo hii topic yako haina mashiko(just delete it). Period.
 
🤣🤣
 
Kabudi karudi ndani ya baraza la Mawaziri je tunatarajia jipya kutoka kwa mkongwe huyu wa family law.
 
Mwehu wewe siyo bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…