Huyo utopolokakolanya hapana kwakweli, hawezi mzidi manula
uliuliza mbadala wa Manula kwa Tanzania hii nikakutajia wawili,vipi Kasseja nae kwa Aishi?kakolanya hapana kwakweli, hawezi mzidi manula
[emoji23][emoji23]Nataka tu kujua Mkuu uyo beno wanaemtaja namjua nje ndani nimepiga nae mbeya foundation academy kabla hajaenda mbaspo then prison B nae ana makosa yake madogomadogo kama ManulaManula ni mbovu Acha maswali ya kipolisi mkuu.
Ukiachana na juma k juma kwa sasa bongo kwa magolikipa wazawa hamna wa kumzidi AishiWapo wengi,Kakolanya apewi nafasi lakini anamzidi Manula.
Juma Kaseja anavitu vingi mno kamzidi Manula mbali sana.
Hakuna Golikipa anayemzidi Manula hapa Tanzania hasa Watanzania. Manuala uwezo wake yupo sawa na Golikipa wa Yanga yule Diara.Wapo wengi,Kakolanya apewi nafasi lakini anamzidi Manula.
Juma Kaseja anavitu vingi mno kamzidi Manula mbali sana.
Mimi najua manula ana ubovu wake unaokera,na kuwa na vitu vibovu kumi hakukifanyi kibovu kidogo kupona ubovu wake mimi nimesimamia kwamba kuna nyakati mwanadamu anaweza fanikiwa bila bidii wala haki. Na wakati mwingine hata ubora na ukubwa wa timu unachangia kumng'arisha.[emoji23][emoji23]Nataka tu kujua Mkuu uyo beno wanaemtaja namjua nje ndani nimepiga nae mbeya foundation academy kabla hajaenda mbaspo then prison B nae ana makosa yake madogomadogo kama Manula
Kipa kuwa na makosa baadhi haimanishi ndio mbovu kabisa kiasi cha kuonekana hafai
Sasa wewe kumjua ina uhusiano gani na ubora wake[emoji23][emoji23]Nataka tu kujua Mkuu uyo beno wanaemtaja namjua nje ndani nimepiga nae mbeya foundation academy kabla hajaenda mbaspo then prison B nae ana makosa yake madogomadogo kama Manula
Kipa kuwa na makosa baadhi haimanishi ndio mbovu kabisa kiasi cha kuonekana hafai
no.1 Juma K Juma.Ukiachana na juma k juma kwa sasa bongo kwa magolikipa wazawa hamna wa kumzidi Aishi
Mnachukulia kawaida kwa vile simba hatushambuliwi sana kiasi cha yeye kufanya save nyingi ila kwenye mechi za kimataifa ubora wake huwa mnauona
Mbna unaongea Kama wew ni mgen wa soka?? Hiv aliondoka na point zake sita na magoli aliyofunga manne mpaka saa Simba itabak na kitu??? Kagere bado ni msaada Sana na bado anauwezo mkubwa tu wa kufunga magoliHana msaada kwa sasa
Anatakiwa aachwe tu apatikane striker mwingime
acha kuandika ujinga mzee[emoji23][emoji23]Nataka tu kujua Mkuu uyo beno wanaemtaja namjua nje ndani nimepiga nae mbeya foundation academy kabla hajaenda mbaspo then prison B nae ana makosa yake madogomadogo kama Manula
Kipa kuwa na makosa baadhi haimanishi ndio mbovu kabisa kiasi cha kuonekana hafai
Bocco ametupa ubingwa wa Tz zaidi ya mara 2, maana mechi za mikoani yeye ndo alikuwa anafunga magoli muhimu na kutupa point muhimu za ugenini. Bocco ni legend na kiongozi mkubwa sana ndani ya timu ya Simba. Wachezaji wenye akili mbovu kama Morisson na Mkude mtu pekee wanaeweza kumsikiliza ni BoccoMuwe mnathamini malegend wenu basi
Alivyokuwa Azam ubora wake ulionekana ata akiwa timu ya Taifa japo huwa tunazabuliwa lakini ubora wake huwa unaonekana kwa save zakeMimi nijuavyo
Mimi najua manula ana ubovu wake unaokera,na kuwa na vitu vibovu kumi hakukifanyi kibovu kidogo kupona ubovu wake mimi nimesimamia kwamba kuna nyakati mwanadamu anaweza fanikiwa bila bidii wala haki. Na wakati mwingine hata ubora na ukubwa wa timu unachangia kumng'arisha.
Unaweza kuacha kusama apo kwenye kumjua ukasoma icho nilichoeleza kwenye mapungufu yao.Sasa wewe kumjua ina uhusiano gani na ubora wake
Ukiona ujinga unapita Mkuu humu tunajadiliana hatupo kudhalalishana kwa kauli zisizofaaacha kuandika ujinga mzee
Ndio nimekuambia Mkuu ukiachana na juma ambae muda wake umeshafika ukingoni ni kipa gani wa kumtoa golini manula?no.1 Juma K Juma.
Wawa nakusapoti ila bwalya abaki ila asicheze namba 10 kwa sababu kwake inampa shidaBwalya na Wawa
Bora umeliona ilo Mkuu. Haiwezekani makovha wote wakija wawe wanampanga manula tuHakuna Golikipa anayemzidi Manula hapa Tanzania hasa Watanzania. Manuala uwezo wake yupo sawa na Golikipa wa Yanga yule Diara.
Swali kama hili uliuliza mwanzo kabisa bila kumuhusisha Kasseja,nilipokujibu Kasseja na Kakolanya umeuliza tena swali iloilo kwa kumkrash Kasseja eti muda wake umeisha.Ndio nimekuambia Mkuu ukiachana na juma ambae muda wake umeshafika ukingoni ni kipa gani wa kumtoa golini manula?
Bwalya hana msaada kwenye timu. Anachelewesha mpira pasipotakiwa, pia angalia takwimu hana assist hata moja msimu huu ligi kuu wakati yeye ni namba 10. Amefunga goli moja tu ligi kuu tena la penalt, ndio maana watu wanamkumbuka CCC maana kazi yake ilikuwa inapimika.Bwalya unamuonea mkuu. Ila Bocco daah! Labfa tumpe muda atarudi kwenye form
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app