Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Nahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hakika naunga mkono hojaUkiwa na akili timamu huwezi kuchagua kuwa chini ya Russia!
Inawezekana nazeeka vibaya labda lakini habari imezungumzia Kherson, picha ya watu wa Kyiv. Sijui mlio bado kuzeeka au mnaozeeka vizuri mnaweza kuniweka sawa hapa!Nahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
View attachment 2414167
Mkuu,ni kama unavyoona watu wa mchambawima, kwa mtogole, wakishangilia ushindi wa man-cityInawezekana nazeeka vibaya labda lakini habari imezungumzia Kherson, picha ya watu wa Kyiv. Sijui mlio bado kuzeeka au mnaozeeka vizuri mnaweza kuniweka sawa hapa!
Mkuu wewe elewa tu shangwe zito linaendelea kherson baada ya mvamizi kupigwa kama ngoma na kukimbia kwa aibu.Inawezekana nazeeka vibaya labda lakini habari imezungumzia Kherson, picha ya watu wa Kyiv. Sijui mlio bado kuzeeka au mnaozeeka vizuri mnaweza kuniweka sawa hapa!
Usishitushwa na shangwe la yoyote yule.Binadamu ni watu waongo sana.Kule Afghanistan siku Taliban walipolazimika kwenda mafichoni baada ya Marekani kutumia maguvu yake yote kuingia nchini humo.Tuliona watu wakikata viuno mabarabarani kushangilia.Muda si mrefu mambo yakageuka. Inaonekana wale walioshangilia walikuwa ni ndumilakuwili kwani muda haujapita wakaanza kupambana na jeshi la NATO.Na Iraq ni hivyo hivyo.Nahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
View attachment 2414167
Ngoja tuupe muda nafasi utaongea.Usishitushwa na shangwe la yoyote yule.Binadamu ni watu waongo sana.Kule Afghanistan siku Taliban walipolazimika kwenda mafichoni baada ya Marekani kutumia maguvu yake yote kuingia nchini humo.Tuliona watu wakikata viuno mabarabarani kushangilia.Muda si mrefu mambo yakageuka. Inaonekana wale walioshangilia walikuwa ni ndumilakuwili kwani muda haujapita wakaanza kupambana na jeshi la NATO.Na Iraq ni hivyo hivyo.
Kule Misri makundi ya watu waliandamana kumpindua Hosni Mubarak,baada muda si mrefu makundi mengine yakaandamana kumpinga rais Mursi..
Kuna video kibao za khersonInawezekana nazeeka vibaya labda lakini habari imezungumzia Kherson, picha ya watu wa Kyiv. Sijui mlio bado kuzeeka au mnaozeeka vizuri mnaweza kuniweka sawa hapa!
zipo video zaid ya 100 ukihitaj nitumie namba yako ya whatsup nkutumie hizo video , na story nying zimeongelewa ikiwepo wanajesh wa Urusi kubaka raia na kupiga risas wale walioonesha bendera ya Ukraine hadharanInawezekana nazeeka vibaya labda lakini habari imezungumzia Kherson, picha ya watu wa Kyiv. Sijui mlio bado kuzeeka au mnaozeeka vizuri mnaweza kuniweka sawa hapa!
leo yamekuwa hayo ? ndio maana Timu Putin huwa nawaita vichaa hawajui wanasapot nini , kila siku wanabadilikaMkuu,ni kama unavyoona watu wa mchambawima, kwa mtogole, wakishangilia ushindi wa man-city
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ccm kumbe imerithi ubabaishaji toka kwa wajamaa wenzao UrusiNahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
View attachment 2414167
mpk % kubwa ya wa afghanstan hawawapend Taliban mbali na wale wachache wenye msongo wa mawazo ndo wanasapoti talibanUsishitushwa na shangwe la yoyote yule.Binadamu ni watu waongo sana.Kule Afghanistan siku Taliban walipolazimika kwenda mafichoni baada ya Marekani kutumia maguvu yake yote kuingia nchini humo.Tuliona watu wakikata viuno mabarabarani kushangilia.Muda si mrefu mambo yakageuka. Inaonekana wale walioshangilia walikuwa ni ndumilakuwili kwani muda haujapita wakaanza kupambana na jeshi la NATO.Na Iraq ni hivyo hivyo.
Kule Misri makundi ya watu waliandamana kumpindua Hosni Mubarak,baada muda si mrefu makundi mengine yakaandamana kumpinga rais Mursi..
Na mimi naunga mkono hoja.Kwa hakika naunga mkono hoja
Shangwe la Kufa mtu [emoji116][emoji116]Nahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
View attachment 2414167