Hakuna kiasi cha pesa kitakachokuhakikishia kutoboa biashara kama hujatulia na kujifunza kwanza kwa waliokutangulia hiyo biashara. Mimi nipo Kibaha,nikikushauri wewe uko Dar au Morogoro,mazingira tofauti.
Way forward, ziweke akiba, fanya field mwezi mmoja kwanza