Kwa Shilingi milioni 6, ni biashara gani nzuri ambayo inaweza kunitoa

Mkuu jaribu Forex trading.. Tafuta MTU anaetrade seriously akupe shule kwa myda kama 3 months unaanza kutrader na $ chache
 
za mda huu wakuu...

katika kuhangaika huko na kule kutafuta mtaji
hatimae nimefanikiwa kupata iko kias kidogo,,
biashara gani inaweza kunitoa?? ndugu zangu tuweke utani pembeni nipo serious,, nahitaji msaada mana nimefikilia sana sijapata jibu_
Mkuu ukishindwa kabisa njoo ufanye biashara na mimi
 
Kwa hali ilivyo nakushaur utulize mtaj wako,tulioko sokon tunajuuuuta,ila kila mtu nabahat yako ingawa am sure uo mtaj utapotea,usiache kuleta mrejesho mkuu
 
Duh..! Una hakika mtaji utapotea?? Asipofanya chochote si atakula huo mtaji? Inategemea aina ya biashara.. Usimkatishe tamaa, kuna ambazo zinastawi kipindi hiki mkuu. Mfano, jana nmeona Dcb wanasema biashara yao ime flourish, profit imeongezeka zaidi ya mwk jana hadi tsh1b
 
Kwa hali ilivyo nakushaur utulize mtaj wako,tulioko sokon tunajuuuuta,ila kila mtu nabahat yako ingawa am sure uo mtaj utapotea,usiache kuleta mrejesho mkuu

kwann mkuu?? mbn unanitisha ndugu
 
Msaada wana jamvi
Naomba kujuzwa juu ya masharti ,sheriA Na taratibu za kufungua cosmetics shop pamoja na mtaji minimum wa kuanza nao
Asalaam nawasilisha
 
Fungua duka la dawa muhimu lakini ufuate masharti yake
Msaada wakoo mkuu


Msaada wana jamvi
Naomba kujuzwa juu ya masharti ,sheriA Na taratibu za kufungua cosmetics shop pamoja na mtaji minimum wa kuanza nao
Asalaam nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…