💯🤝Mbaya zaidi analeta majivuno mengi badala ya kufanya show kweli.
Kwan unateseka nini kila mtu na Maisha yake tafuta fedha mkuu acha kuongelea watu wasio na faida kwakoUnaingia kwenye show unazurura uwanjani ukivimba kuonyesha ufalme wako.
Kwanini usituonyeshe ufalme wako kwenye kazi yako. Mwisho wa siku ikawa ni makelele na uchawa mwingi..
Yaani huyu msanii hata intro tu ya show nayo ni taabu... Sijui ni kujikweza na kiburi tu..
View attachment 2710672
Kama ni hivyo siyo kila ulitarajialo ndivy litakavyo kuwaNateseka na mimi kulipa kiingilio then kushuhudia shoo mbovu...
Alikuwa aingie na farasi pamoja na gari la wazi walinzi wakakataa maana anataka aingie kifalme kuliko hata rais wa nchiTaji la mfalme au la malikia!!! Kule na ko kujidhalilisha.
Live show????? Angalia tena live show zao then uje ureplyAli Kiba ni msanii mzuri naa mkubwa lakini linaapokuja jambo la Live Show I will always go with Diamond Platnumz.
Nafikiri ningesema kutawala jukwaa tungekuwa tumeelewana zaidi...Live show????? Angalia tena live show zao then uje ureply