Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Acha ujinga hahahahMlitaka apige mikelele ya
Haniiiiiiiii....haniiiiii..haniiiiii..haniiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga hahahahMlitaka apige mikelele ya
Haniiiiiiiii....haniiiiii..haniiiiii..haniiiii
Umezingua hapo diamond live show?Ali Kiba ni msanii mzuri naa mkubwa lakini linaapokuja jambo la Live Show I will always go with Diamond Platnumz.
Baaaasi,ndo akaona kuwakomoa avae taji la kina dada zetu! Natamani nijue mdada aliyemvalisha kile kidude. Si ajabu na shanga alivishwaAlikuwa aingie na farasi pamoja na gari la wazi walinzi wakakataa maana anataka aingie kifalme kuliko hata rais wa nchi
Angalia hata jina lake mkuu.Tulia mkuu acha chuki
Bora akishindanishwa na nani?Zuchu ni msanii bora wa kike
Apewe maua yake