Kwa shoo ya Alikiba jana, nakubaliana na Zuhura

Alikuwa aingie na farasi pamoja na gari la wazi walinzi wakakataa maana anataka aingie kifalme kuliko hata rais wa nchi
Baaaasi,ndo akaona kuwakomoa avae taji la kina dada zetu! Natamani nijue mdada aliyemvalisha kile kidude. Si ajabu na shanga alivishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…