Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Aug 7, 2023 #21 Kalpana said: Mlitaka apige mikelele ya Haniiiiiiiii....haniiiiii..haniiiiii..haniiiii Click to expand... Acha ujinga hahahah
Kalpana said: Mlitaka apige mikelele ya Haniiiiiiiii....haniiiiii..haniiiiii..haniiiii Click to expand... Acha ujinga hahahah
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Aug 7, 2023 #22 Zuhura unatamani ungepewa uimbe wewe
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Aug 7, 2023 #23 magnifico said: Ali Kiba ni msanii mzuri naa mkubwa lakini linaapokuja jambo la Live Show I will always go with Diamond Platnumz. Click to expand... Umezingua hapo diamond live show?
magnifico said: Ali Kiba ni msanii mzuri naa mkubwa lakini linaapokuja jambo la Live Show I will always go with Diamond Platnumz. Click to expand... Umezingua hapo diamond live show?
T Twin_Kids JF-Expert Member Joined Feb 25, 2016 Posts 3,692 Reaction score 5,647 Aug 7, 2023 #24 Dabil said: Alikuwa aingie na farasi pamoja na gari la wazi walinzi wakakataa maana anataka aingie kifalme kuliko hata rais wa nchi Click to expand... Baaaasi,ndo akaona kuwakomoa avae taji la kina dada zetu! Natamani nijue mdada aliyemvalisha kile kidude. Si ajabu na shanga alivishwa
Dabil said: Alikuwa aingie na farasi pamoja na gari la wazi walinzi wakakataa maana anataka aingie kifalme kuliko hata rais wa nchi Click to expand... Baaaasi,ndo akaona kuwakomoa avae taji la kina dada zetu! Natamani nijue mdada aliyemvalisha kile kidude. Si ajabu na shanga alivishwa
This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Aug 8, 2023 #25 Me I and my self said: Tulia mkuu acha chuki Click to expand... Angalia hata jina lake mkuu. Haya majina so ya bahati mbaya. Yanasadifu uhalisia.
Me I and my self said: Tulia mkuu acha chuki Click to expand... Angalia hata jina lake mkuu. Haya majina so ya bahati mbaya. Yanasadifu uhalisia.
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 6,581 Reaction score 11,572 Aug 15, 2023 #26 Msanii said: Zuchu ni msanii bora wa kike Apewe maua yake Click to expand... Bora akishindanishwa na nani?
Msanii said: Zuchu ni msanii bora wa kike Apewe maua yake Click to expand... Bora akishindanishwa na nani?