Kwa siku kila mwanadamu anatumia bidhaa ya Marekani

Kwa siku kila mwanadamu anatumia bidhaa ya Marekani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kama sio Airbus, utatumia Coca-cola au Pepsi, utakwepa huko utakamatwa Kwenye Colgate. Haya utakimbia iphone lakini utabanwa Kwenye fb, insta, Whatsapp. Kama uko kijijini, una kitorch Cha mchina utapiga tu cm na network na ya beberu.

tasema Mimi ctumii cm lakini utavaa mtumba wa mu America. Kwenye madawa ya hospital yupo. Orodha ni ndefu wengine muongeze
 
Mbona hawaleti mbususu kwa msaada wa watu wa marekani?
 
Back
Top Bottom