Tumeshuhudia msimu uliokuwa na wachezaji wasio na ari kabisa ya mafanikio.Wachezaji tunaowajua kwa uwezo wao waliweza kutushangaza kila wabapoingia uwanjani kwani ilikuwa nadra kutoruhusu bao.
Walionekana wanacheza kwa uchovu sana kitu ambacho naamini ni lugha ya kinya ya kusema mimechoka niruhusuni niende nitakapo .Hivyo natamani mchezaji kama Chama na Inonga waruhusiwe kuondoka ili kutoa nafasi kwa vijana.
Walionekana wanacheza kwa uchovu sana kitu ambacho naamini ni lugha ya kinya ya kusema mimechoka niruhusuni niende nitakapo .Hivyo natamani mchezaji kama Chama na Inonga waruhusiwe kuondoka ili kutoa nafasi kwa vijana.