Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Kipindi ZORAN MAKI anakataa karibia timu nzima mlimuona Kama kocha ndezi, mwoga, Hana maono nk .
Kwa uelewa wangu mdogo wa mpira najua timu kubwa na Bora Yoyote duniani msingi wao wa kufikia mafanikio walioeweka (targets ) kama club Ni kuwa na kikosi Bora na yenye ushawishi kuanzia wachezaji, mashabiki na viongozi wote
Kwa timu yangu Hilo hakuna kabisa, kuanzia uongozi, na HASA HASA WACHEZAJI.
Football Ni career fupi Sanaa, nikimaanisha kote duniani, mfano kwa walio tutangulia (ulaya ) mchezaji Bora atacheza angalau 7yrs (at least Kama yupo Bora kweli kweli ) baada ya hapo anapewa mbadala ili maisha yaendelee
Kwa Simba ipo wazi kabisa wachezaji wengi Sanaa wametumika, wamechoka na hata sajili zao bado za mchongo, niwazi wanao sajili hawana taalumu za usajili, kiufundi huwezi sajili washambuliaji TU ambao hata bado hawana efficiency Ni kosa kubwa.
Chama, phiri, kapombe, bocco, saido, miqquisonne na wengine sio wachezaji wa kucheza Simba kabisa, wanajitahidi ila ndio hivyo UMRI UMRI sio rafiki kwao.
Naomba mtu anijibu.....Phiri anacheza namba ngapi kwa ufanisi mkubwa(efficiency)???.....anastahili kuichezea Simba????
Kwa uelewa wangu mdogo wa mpira najua timu kubwa na Bora Yoyote duniani msingi wao wa kufikia mafanikio walioeweka (targets ) kama club Ni kuwa na kikosi Bora na yenye ushawishi kuanzia wachezaji, mashabiki na viongozi wote
Kwa timu yangu Hilo hakuna kabisa, kuanzia uongozi, na HASA HASA WACHEZAJI.
Football Ni career fupi Sanaa, nikimaanisha kote duniani, mfano kwa walio tutangulia (ulaya ) mchezaji Bora atacheza angalau 7yrs (at least Kama yupo Bora kweli kweli ) baada ya hapo anapewa mbadala ili maisha yaendelee
Kwa Simba ipo wazi kabisa wachezaji wengi Sanaa wametumika, wamechoka na hata sajili zao bado za mchongo, niwazi wanao sajili hawana taalumu za usajili, kiufundi huwezi sajili washambuliaji TU ambao hata bado hawana efficiency Ni kosa kubwa.
Chama, phiri, kapombe, bocco, saido, miqquisonne na wengine sio wachezaji wa kucheza Simba kabisa, wanajitahidi ila ndio hivyo UMRI UMRI sio rafiki kwao.
Naomba mtu anijibu.....Phiri anacheza namba ngapi kwa ufanisi mkubwa(efficiency)???.....anastahili kuichezea Simba????