Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kwa nini wasifungwe huko ugenini kabisa?kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Wameona ni bora wafie hapa kuepusha gharama za kusafirisha πKwa nini wasifungwe huko ugenini kabisa?
kwa simba hii weka hata uhai, itafungwa tu.Lugha imebadilika na si kufungwa ugenini ni nyumbani.
Kazi kwelikweli
Naona unaumia, kunywa maji utulize moyo, kama usingizi hauji kunywa kisunguraWameona ni bora wafie hapa kuepusha gharama za kusafirisha π
Ishabikie ila ina mambo ya kihindi mengi sana.Miongoni mwa timu ambayo huwa natamani kuishabikia lakini.... Inaupuuzi mwingi sanaππ.
Ni game plan. Wala sio chini ya kiwango.Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Soma Pia:
NB: SIMBA SC MSILIAIBISHE TAIFA.
Hii lugha nayo itabadilika.kwa simba hii weka hata uhai, itafungwa tu.
Sawa mkuu uzi ndio huu tukutane baada ya mechi.Naona unaumia, kunywa maji utulize moyo, kama usingizi hauji kunywa kisungura
ππ, hii timu ina matizo sana... Haichelewi kupigwa 3 mtungi kwa mkapa.Ishabikie ila ina mambo ya kihindi mengi sana.
Sio matokeo mabaya kwa Simba, kikubwa Taifa wapambane. Japo Walibya wako vizuri. Nadhani ni kipimo sahihi kwa Simba kwenda makundi.Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Soma Pia:
NB: SIMBA SC MSILIAIBISHE TAIFA.
Hawa wakishua hawajui kabumbuNaona maumivu yanakukaba koo
Makundi yapi na mtatoka?Hii lugha nayo itabadilika.
Utasikia makundi hatoboi
Kazi kwelikweli
Napenda kutanguliza salam za pole kwa wanasimba wote, poleni.Naona maumivu yanakukaba koo
Mkuu nakubaliana nawe 100%Sio matokeo mabaya kwa Simba, kikubwa Taifa wapambane. Japo Walibya wako vizuri. Nadhani ni kipimo sahihi kwa Simba kwenda makundi.