Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #21
wana mlima wakupanda.Hamna timu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana mlima wakupanda.Hamna timu hapo
Umeongea utopolo...Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Soma Pia:
NB: SIMBA SC MSILIAIBISHE TAIFA.
Tuwaachie huyo kagoma awasaidie kidogo maana wana hali mbaya.Simba wanadharau wanajua kabisa kagoma ni mali ya yanga na bado wanamchezesha.
Yanga teyari wameshawatonya waarabu barua imeshaandikwa kesho inapelekwa CAF.😂😄😆😀😀😀😃😃😁
Nao watakuja kwa tahadhari na ndipo mtakapotolewa.Umeongea utopolo...
Nadhani ulitaka tuwe kama nyie na CRB watu wameenda kwa tahadhari...
WordKwa nini wasifungwe huko ugenini kabisa?
Simba wanadharau wanajua kabisa kagoma ni mali ya yanga na bado wanamchezesha.
Yanga teyari wameshawatonya waarabu barua imeshaandikwa kesho inapelekwa CAF.😂😄😆😀😀😀😃😃😁
Kwa lipi? Hakuna kutolewa...kwani wao wameshinda kwao?Nao watakuja kwa tahadhari na ndipo mtakapotolewa.
Muda utasema, kama mashabiki wanacheza mtashinda.Mleta mada tuliza kishundu. haueleweki, mara hao waarabu wako vizuri, mara Simba ni mbovu. Wameshindwa kutufunga mbele ya mashabiki wao waje kutufunga kwa mkapa tukiwa full house?
Acha kuongea na ww vitu usivyokua na uhakika navyo bana...ur too smart than this...ww unaona wana hatari gani sasa...Muda utasema, kama mashabiki wanacheza mtashinda.
Kawaulize caf hilo swali. Timu 13 utailinganishaje na timu ya 7 ?Tuwaachie huyo kagoma awasaidie kidogo maana wana hali mbaya.
Kuna mda nmewaza hivi hii timu ndio ya kuilinganisha na Dar young africans kweli? Wanatukosea sana.
Kwa namna walivyocheza nawapa nafasi kubwa kushinda hata kama watakuwa ugenini.Kwa lipi? Hakuna kutolewa...kwani wao wameshinda kwao?
We jamaa mnafki sana, yanga damu tangu lini?Mm YANGA damu
Ila Simba wapewe heshima yao
Tukutane LUPASONi game plan. Wala sio chini ya kiwango.
Thou kuna wachezaji wametuangusha kwa kutotimiza majukumu yao vyema.
Al Ahli Tripoli walikamia kuimaliza mechi kwao na imeshindikana.
Tukutane LUPASO.
Kwani si unaona kwa presha ile ya mashabiki na wachezaji wameweza kumantain kucheza na kutokutoka kwny focus huoni watakua na hari kubwa wakiwa na wao kwny uwanja wa nyumbani?Kwa namna walivyocheza nawapa nafasi kubwa kushinda hata kama watakuwa ugenini.
Tungoje 2nd leg muda utaongea.Ni game plan ya ugenini
Wanasimba mkubali mkatae timu yenu sio tishio tena kama ilivyokuwa misimu miwili nyuma. Huu ukweli mtaukubali mkitoka.Kwani si unaona kwa presha ile ya mashabiki na wachezaji wameweza kumantain kucheza na kutokutoka kwny focus huoni watakua na hari kubwa wakiwa na wao kwny uwanja wa nyumbani?