maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Upo Sahihi Kabisa Mkuu Simba Imebebwa na Camara Leo tulikuwa hatuna munkari kabisa tunapoteza mipira kirahisi Halafu ule uhuni wa mashabiki wao tuufanye zaidi pale taifa Ubaya Ubwela Sina Mengi Mimi Mnazi Wa Mnyama Mkali Kutokea Pande Za Kyala Marangu SIMBA NGUVU MOJA