Kwa Simba SC hii kama taifa tujiandae kwa aibu

Kwa Simba SC hii kama taifa tujiandae kwa aibu

Upo Sahihi Kabisa Mkuu Simba Imebebwa na Camara Leo tulikuwa hatuna munkari kabisa tunapoteza mipira kirahisi Halafu ule uhuni wa mashabiki wao tuufanye zaidi pale taifa Ubaya Ubwela Sina Mengi Mimi Mnazi Wa Mnyama Mkali Kutokea Pande Za Kyala Marangu SIMBA NGUVU MOJA
Mjitokeze uwanjani kuipa timu hamasa ili isijefedhehesha taifa kwa matokeo mabaya.
 
Mimi ni yanga damu ila simba umwamba aliokuwa nao apewe maua yake sikutegemea kama watazuia vzur
 
Back
Top Bottom