mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Hatutaki shobo🤩🤩. Natania. Wachezaji WA Simba wameumizwa na refa kapokea kipondo😔MIMI NI YANGA DAMU,SIMBA NI TIMU KUBWA KULIKO YANGA NDIO MAANA KWA AFRIKA NI WA 7 NA NNAMTABIRIA KUFIKA FAINALI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki shobo🤩🤩. Natania. Wachezaji WA Simba wameumizwa na refa kapokea kipondo😔MIMI NI YANGA DAMU,SIMBA NI TIMU KUBWA KULIKO YANGA NDIO MAANA KWA AFRIKA NI WA 7 NA NNAMTABIRIA KUFIKA FAINALI
Siyo kweli...Sijawai vuta bangi mkuu
Itabidi nianze kuvuta ili niache.Siyo kweli...
Nakushauri acha bangi.
Wewe ni yanga damu au sio?MIMI NI YANGA DAMU,SIMBA NI TIMU KUBWA KULIKO YANGA NDIO MAANA KWA AFRIKA NI WA 7 NA NNAMTABIRIA KUFIKA FAINALI
😂😂😂😂Kwa nini wasifungwe huko ugenini kabisa?
Umefafanua vyema kabisa mkuu, umemaliza kila kitu. Mechi ijayo sio nyepesi kama wanasimba wengi wanavyofikiria kwa namna kikosi chao kilivyo. Mwalimu ana kazi ya ziada kwenye kupanga kikosi.Hii mechi ndio imekuwa serious challenge kwa simba ukiondoa ile mechi ya Al hilal ya ibenge..
Kwa picha ya nje Simba Sc ina uzoefu na uwezo kuliko Waarabu wa leo, ila ukija kwny uhalisia Wachezaji wengi WALIOPO Simba kwa sasa wana experience ndogo na wametoka kwny timu ndogo ndogo kuliko timu waliyoichezae sasa....hivyo sio rahisi kwao ku-handle mechi zenye presha kubwa mbele ya mashabiki aggressive kama wa Leo...
Fikiria wachezaji kama Valentino Mashaka, Ahoua, Mutale au Balua..Leo ni mara yao ya kwanza kucheza mechi yenye mashabiki zaidi ya elf 40
USHAURI::
katika line up itakayoanza hasa mechi za ugenini, Simba inatakiwa Ianze na atleast 6/11 ya Wachezaji iliyokuwa nao misimu ya nyuma....ili ku-retain spirit na uzoefu wa Simba...
Changamoto ya Leo
Kocha mpya, wachezaji 8 kati ya 11 walioanza jana wote ni WAPYA..
Katika mazingira haya naiona mechi ijayo ya mguu wa pili haitakuwa nyepesi.
Msimalize maneno yote wakuu bado kuna 2nd legMabululu hakuna mchezaji pale, bora mzize
Hakuna lililo jipya kwake kila unachokifanya yeye keshafanya na naweza sema unaishi ndani ya mwamvuli wakeMashindano ambayo simba hayupo
JidanganyeniHakuna lililo jipya kwake kila unachokifanya yeye keshafanya na naweza sema unaishi ndani ya mwamvuli wake
Endelea kutokubaliana na hilo !Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Wapo vizuri si wangeshinda?Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Soma Pia:
NB: SIMBA SC MSILIAIBISHE TAIFA.
Wapo vizuri si wangeshinda?
It is overEndelea kutokubaliana na hilo !
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nyokoooo....Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo.
Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba sitoshangaa wakifungwa hapa nyumbani.
Soma Pia:
NB: SIMBA SC MSILIAIBISHE TAIFA.