Kwa singeli Kabudi unatukosea Watanzania huujui vizuri huo mziki. Bongo Fleva ndio mziki rasmi unaoitambulisha Tanzania

Kwa singeli Kabudi unatukosea Watanzania huujui vizuri huo mziki. Bongo Fleva ndio mziki rasmi unaoitambulisha Tanzania

Kiti cheupe

Member
Joined
Apr 8, 2024
Posts
5
Reaction score
5
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio sahihi kwa sababu zifuatazo:

Kwanza kabisa tayari Tanzania ina mziki unaoitwa Bongo fleva unaoitambulisha kwa miaka mingi na umeleta tuzo nyingi hapa nyumbani kupitia wasanii mbalimbali kama Ali Kiba, Diamondi, Ray van, Harmonize, Lady jaydee. Nk.

Huko duniani tayari watu wanajua mziki wa Tanzania ni bongo fleva.Nchi kubwa kimziki kama Nigeria., Afrika kusini na Ghana wanajua watanzania wanaimba bongo fleva.

Hivyo tusiwachanganye watu kwa kuwaletea jina jipya la mziki wakati tayari tumeshatengeneza Brand ya Bongo fleva.

Sababu ya pili ni ishu ya MAADILI. Japo Bongo fleva pia ina upungufu wa maadili kwa baadhi ya wasanii LAKINI mziki wa SINGELI una maporomoko ya kimaadili.

Huwezi kukaa sebleni na wageni ukaangalia mziki wa singeli yaani kuna vitendo vya kingono kuanzia mwanzo mpaka mwisho.

Mbaya zaidi mashoga wengi wanatokea kwenye mziki wa singeli kuliko bongo fleva. Ni ngumu kukuta mziki wa bongo fleva kuna mashoga wanakata mauno ni singeli tu labda na taarabu.
Sababu ya tatu ni ujumbe.

Nyimbo nyingi za singeli hazieleweki zinaimba nini, kwa kifupi hazina ujumbe. Licha ya kuimba sana mapenzi lakini wasanii kama Diamond, Ali Kiba na Harmonize wameimba nyimbo nyingi zenye ujumbe.

Sasa tafuta singeli 10 ambazo zimewai kuimba ujumbe wa kuelimisha jamii kwa ufupi utaanza kuhesabu vidole hadi zifike 10.
Sababu ya mwisho ni uelewa.

Wasanii wengi wa bongofleva wanajitambua na wamesoma angalau sekondari na baadhi hadi vyuo vikuu kama wakina MwanaFA, Roma, Nikki 2, prof jay, Lakini wasanii wa singeli wengi wao walikataa shule na wametokea kwenye mazingira yaliyozungukwa na uhalifu kama uvutaji bangi, madawa, ukahaba n. K

Nihitimishe kwa kusema muheshimiwa waziri haujui huu mziki hivyo anadhani ni mziki tu kama ilivyo mingine. Mlionae karibu mumshauri tafadhali kabla hajaaribu.

Kama kuna mtu anang'ang'ania Singeli atuambia ni tuzo ngapi za kimataifa zimepatikana kupitia Singeli?
 
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio sahihi kwa sababu zifuatazo:

Kwanza kabisa tayari Tanzania ina mziki unaoitwa Bongo fleva unaoitambulisha kwa miaka mingi na umeleta tuzo nyingi hapa nyumbani kupitia wasanii mbalimbali kama Ali Kiba, Diamondi, Ray van, Harmonize, Lady jaydee. Nk.

Huko duniani tayari watu wanajua mziki wa Tanzania ni bongo fleva.Nchi kubwa kimziki kama Nigeria., Afrika kusini na Ghana wanajua watanzania wanaimba bongo fleva.

Hivyo tusiwachanganye watu kwa kuwaletea jina jipya la mziki wakati tayari tumeshatengeneza Brand ya Bongo fleva.

Sababu ya pili ni ishu ya MAADILI. Japo Bongo fleva pia ina upungufu wa maadili kwa baadhi ya wasanii LAKINI mziki wa SINGELI una maporomoko ya kimaadili.

Huwezi kukaa sebleni na wageni ukaangalia mziki wa singeli yaani kuna vitendo vya kingono kuanzia mwanzo mpaka mwisho.

Mbaya zaidi mashoga wengi wanatokea kwenye mziki wa singeli kuliko bongo fleva. Ni ngumu kukuta mziki wa bongo fleva kuna mashoga wanakata mauno ni singeli tu labda na taarabu.
Sababu ya tatu ni ujumbe.

Nyimbo nyingi za singeli hazieleweki zinaimba nini, kwa kifupi hazina ujumbe. Licha ya kuimba sana mapenzi lakini wasanii kama Diamond, Ali Kiba na Harmonize wameimba nyimbo nyingi zenye ujumbe.

Sasa tafuta singeli 10 ambazo zimewai kuimba ujumbe wa kuelimisha jamii kwa ufupi utaanza kuhesabu vidole hadi zifike 10.
Sababu ya mwisho ni uelewa.

Wasanii wengi wa bongofleva wanajitambua na wamesoma angalau sekondari na baadhi hadi vyuo vikuu kama wakina MwanaFA, Roma, Nikki 2, prof jay, Lakini wasanii wa singeli wengi wao walikataa shule na wametokea kwenye mazingira yaliyozungukwa na uhalifu kama uvutaji bangi, madawa, ukahaba n. K

Nihitimishe kwa kusema muheshimiwa waziri haujui huu mziki hivyo anadhani ni mziki tu kama ilivyo mingine. Mlionae karibu mumshauri tafadhali kabla hajaaribu.

Kama kuna mtu anang'ang'ania Singeli atuambia ni tuzo ngapi za kimataifa zimepatikana kupitia Singeli?
Hiyo mnayoita singeli ndio muziki wa namna gani?
 
Mnapindisha sana alichokimaanisha.

Na hiyo yote kwasababu mmekaririshwa tu mpake matope na kudogosha Utamaduni na desturi zetu

Acheni kuchamba utamaduni wetu nyie wakuja.
 
nadhani ukiachana na maneno yanayoimbwa kwenye singeli lakini genre yake ina asili ya muziki wa tanzania tofauti na bongo fleva ambayo kwa sasa imekuwa kwaito flava na miaka michache iliyopita ilikuwa iki'imitate wahala flava.
 
Live kwenye singeli mwanamke ana mimba anaingizwa chupa ya serengeti tigoni afu anabinukanayo salakasi nikasema what a fcukdtd.
 
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio sahihi kwa sababu zifuatazo:

Kwanza kabisa tayari Tanzania ina mziki unaoitwa Bongo fleva unaoitambulisha kwa miaka mingi na umeleta tuzo nyingi hapa nyumbani kupitia wasanii mbalimbali kama Ali Kiba, Diamondi, Ray van, Harmonize, Lady jaydee. Nk.
Huo ni mchanganyo wa Utamaduni wa Wazungu and is not the actual representation of Africa and it rich culture.
Huko duniani tayari watu wanajua mziki wa Tanzania ni bongo fleva.Nchi kubwa kimziki kama Nigeria., Afrika kusini na Ghana wanajua watanzania wanaimba bongo fleva.
Nani kakuambia wanaenda kufuta Bongo Fleva?
Hivyo tusiwachanganye watu kwa kuwaletea jina jipya la mziki wakati tayari tumeshatengeneza Brand ya Bongo fleva.
Hakuna Mtanzania aliechanganyikiwa, Unapotosha.
Sababu ya pili ni ishu ya MAADILI. Japo Bongo fleva pia ina upungufu wa maadili kwa baadhi ya wasanii LAKINI mziki wa SINGELI una maporomoko ya kimaadili.
Sio kweli. Hakuna maporomoko yeyote yale. Hayo ni mawazo na fikra za kigeni tu. Hoja hiyo ni hafifu.
Huwezi kukaa sebleni na wageni ukaangalia mziki wa singeli yaani kuna vitendo vya kingono kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Wageni kutoka wapi? Ww bila ya hio ngono usingekuwa hapo ulipo 😅
Mbaya zaidi mashoga wengi wanatokea kwenye mziki wa singeli kuliko bongo fleva. Ni ngumu kukuta mziki wa bongo fleva kuna mashoga wanakata mauno ni singeli tu labda na taarabu.
Classical. Only a Bigot would say that
Sababu ya tatu ni ujumbe.

Nyimbo nyingi za singeli hazieleweki zinaimba nini, kwa kifupi hazina ujumbe. Licha ya kuimba sana mapenzi lakini wasanii kama Diamond, Ali Kiba na Harmonize wameimba nyimbo nyingi zenye ujumbe.
Hazieleweki na kina nani?
Sasa tafuta singeli 10 ambazo zimewai kuimba ujumbe wa kuelimisha jamii kwa ufupi utaanza kuhesabu vidole hadi zifike 10.

Sababu ya mwisho ni uelewa.

Wasanii wengi wa bongofleva wanajitambua na wamesoma angalau sekondari na baadhi hadi vyuo vikuu kama wakina MwanaFA, Roma, Nikki 2, prof jay, Lakini wasanii wa singeli wengi wao walikataa shule na wametokea kwenye mazingira yaliyozungukwa na uhalifu kama uvutaji bangi, madawa, ukahaba n. K
Soma tena mkuu, eti kwa sababu wanaonekana kwenye singeli na nguo za kitamaduni basi una assume hawajaenda shule. Umetoka wapi ww?
Nihitimishe kwa kusema muheshimiwa waziri haujui huu mziki hivyo anadhani ni mziki tu kama ilivyo mingine. Mlionae karibu mumshauri tafadhali kabla hajaaribu.
Ni wazi kabisa kwamba ww ndie haujui huu muziki.

Kama kuna mtu anang'ang'ania Singeli atuambia ni tuzo ngapi za kimataifa zimepatikana kupitia Singeli?
Tuzo za kimataifa ziko biased kijana

Tuzo ngapi zimepatikana kwa muziki wa Dansi? Bongo Fleva?
 
Muziki wa uswahilini uliojaa vitendo vya ngono ndio uwe wa Tanzania? Bora ingekuwa dansi
Wale ambao hawajui ndio hii hapa. Kabudi na CCM hiki ndio wanachofikiria. Imagine Huyu ni Waziri Yaani muwakilishi kabisa.....
 
we angalia hata mandhari ya kutengeneza video za singeli ni uswahilini typically
Mandhari ama Uhalisia..., Unataka kuukataa uhalisia wako? Umekuwa shamed for a long time sasa kila kitu cha kwako hutaki sio?

ss video kutengenezwa ama kupigwa Uswahilini ndio kunakufanya uone Singeli sio representation ya Jamii yako? eniwey kama sio ubaguzi huo n nn mkuu?
 
Back
Top Bottom