Kwa skills zile, why Chama ameshindwa kucheza Ulaya?

Kwa mtu anaejua mpira aki asses, Simba wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza ligi kubwa ni wawili tu .. miquissone na onyango... na kidogooo tukiweka wa tatu anakuwa manula...

Wengine wote wana kiwango cha ligi ya Tz tu
Umemkosea saana adabu rally bwalya
 
Mkuu huu mjadala umeuleta wakati mbaya.......majirani zetu wana stress na matokeo ya mnyama kwa hiyo usitegemee michango yenye weledi zaidi ya mipasho...........

Kwa ufupi ukijitoa kwenye gunia la wivu na chuki utagundua kuwa mpira anaoucheza simba anaweza kucheza mahali popote duniani wanapocheza mpira na akapata matokeo.........
 
Wachezaji siku hizi wanaweka mbele mpunga...

Huenda hapo Simba maisha yake yanamwendea vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…