Kwa staili hii Simba hatuwezi kuchukua kombe la Caf

Kwa staili hii Simba hatuwezi kuchukua kombe la Caf

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kwakweli kitendo cha Simba kupigwa na kuruhusu migoli mingi ugenini tunaomba kisiwe endelevu... et kwa kutegemea mechi za nyumbani utashinda.

Wanapofanya hivyo kwa stage ya makundi haina noma... ila kwa upande wa robo fainali na nusu fainali litabia hili likiendelea kuingia nusu fainali ni ndoto za mchana!

45min za kwanza Simba anacheza utafikiri kashinda daaaa.. kuja kustuka washapigwa viwili vya fasta! na bila Manula ina maana tungepigwa five oclock

Halafu kocha anatikisa kiberiti aone kina njiti ngapi daa!

Nasema tena kwa staiki hii ikiendelea hatutaweza kuchukua kombe ila ni kwa neema ya Mungu tyu!
 
Mkuu hebu eleza kidogo, ni kombe la CUF ya Lipumba au hii CAF tunayoielewa ??
itakuwa hii pamoja na rivers united

09E7C157-103E-40F3-BBBC-DE736F2BDC62.png
 
Al ahly alikula 5 na mamelody sundown na akawa bingwa wa Africa sasa ww utopolo umeiona simba tu.

acha uongo.

msimu ambao al ahly alifungwa 5 -0 na mamelodi , al ahly alitolewa robo fainali na huyo huyo mamelodi kwa aggregate ya 5 - 1

yaani ufungwe 5 kwa 0 stage ya mtoano halafu uvuke kwenda nusu wewe umesikia wapi?
 
Al ahly alikula 5 na mamelody sundown na akawa bingwa wa Africa sasa ww utopolo umeiona simba tu.
Hivi Al Ahly alivyopigwa 5 alichukua ubingwa? Si alitolewa kwa aggregate na hao waliompiga 5? Ukifungwa magoli mengi mechi ya kwanza kupindus meza ni ngumu mno. Na ndio maana pamoja na uzuri alionao Al Ahly lakini katolewa kwa kuruhusu magoli mengi
 
Kwakweli kitendo cha Simba kupigwa na kuruhusu migoli mingi ugenini tunaomba kisiwe endelevu... et kwa kutegemea mechi za nyumbani utashinda.

Wanapofanya hivyo kwa stage ya makundi haina noma... ila kwa upande wa robo fainali na nusu fainali litabia hili likiendelea kuingia nusu fainali ni ndoto za mchana!

45min za kwanza Simba anacheza utafikiri kashinda daaaa.. kuja kustuka washapigwa viwili vya fasta! na bila Manula ina maana tungepigwa five oclock

Halafu kocha anatikisa kiberiti aone kina njiti ngapi daa!

Nasema tena kwa staiki hii ikiendelea hatutaweza kuchukua kombe ila ni kwa neema ya Mungu tyu!
Pengine wewe Ni mgeni ktk mpira. Simba na berkane ktk hili kundi ndiyo ambao hadi sasa wameweza kupata japo droo moja ugenini.

Angalia hadi championship watu wanapoteza ugenini wanashinda nyumbani. Ndiyo mpira was Afrika. Yote kwa yote mpira una matokeo matatu.

Na kinachoangaliwa hapa Ni kufuzu kwenda hatua NYINGINE.

Mm ninachojua simba anahitaji usajili wa maana msimu ujao. Wachezaji wa kigeni wenye viwango vya juu vya mechi za kimataifa. Mengine ni porojo tu. Mpira unahitaji uchumi mkubwa kuweza kufanya vizuri.

Simba nguvu moja 💪
 
Al ahly alikula 5 na mamelody sundown na akawa bingwa wa Africa sasa ww utopolo umeiona simba tu.
Vipigo anavyopata Al ahly vinakuwa havina muendelezo ndio tofauti iliyopo.
 
Yes kwa staili hii simba invyocheza inabidi ijirekebishe Hasa kwa upande wa mabeki na fowadi.nawapongeza sana hiz beki za pembeni kwan kadri Siku zinavyoenda zina zidi kuimalika lakin Jana zilifunguliwa kirahisi sana .huenda gemu ilikuwa ngumu upande wao.lakin Jana walicheza kwa ubora wachini sana.pia ukiangalia simba hufany mara nying vizur pale beki zao za pembeni zipo vizuri...upande wa fowadi simba inatakiwa isajili fowadi za maana. accuracy za Maddie kagere ,bocco zimepunguaa.sanaa

Kiukweli Jana simba ilicheza ovyo sana...na isingekuwa Manula tungepigwa khamsa
 
Kwakweli kitendo cha Simba kupigwa na kuruhusu migoli mingi ugenini tunaomba kisiwe endelevu... et kwa kutegemea mechi za nyumbani utashinda.

Wanapofanya hivyo kwa stage ya makundi haina noma... ila kwa upande wa robo fainali na nusu fainali litabia hili likiendelea kuingia nusu fainali ni ndoto za mchana!

45min za kwanza Simba anacheza utafikiri kashinda daaaa.. kuja kustuka washapigwa viwili vya fasta! na bila Manula ina maana tungepigwa five oclock

Halafu kocha anatikisa kiberiti aone kina njiti ngapi daa!

Nasema tena kwa staiki hii ikiendelea hatutaweza kuchukua kombe ila ni kwa neema ya Mungu tyu!
Sawa, kulingana na hisia zako
 
Yes kwa staili hii simba invyocheza inabidi ijirekebishe Hasa kwa upande wa mabeki na fowadi.nawapongeza sana hiz beki za pembeni kwan kadri Siku zinavyoenda zina zidi kuimalika lakin Jana zilifunguliwa kirahisi sana .huenda gemu ilikuwa ngumu upande wao.lakin Jana walicheza kwa ubora wachini sana.pia ukiangalia simba hufany mara nying vizur pale beki zao za pembeni zipo vizuri...upande wa fowadi simba inatakiwa isajili fowadi za maana. accuracy za Maddie kagere ,bocco zimepunguaa.sanaa

Kiukweli Jana simba ilicheza ovyo sana...na isingekuwa Manula tungepigwa khamsa
Bora anaepigwa na kujifunza pia, ila asiyeshiriki kabisa atapoingia tu, anachomolewa maana hakuna anachojua, "Return Of Champions"
 
Back
Top Bottom