Kwa staili hii tutatoka kweli?

Kwa staili hii tutatoka kweli?

Nitengeneze ya Hoteli au nipotezee tuu

  • Potezea

    Votes: 0 0.0%
  • Tengeneza

    Votes: 4 100.0%
  • Sijui

    Votes: 1 25.0%

  • Total voters
    4
  • Poll closed .
Shukran kaka, nilitaka kutengeneza app ya simu pia lakini investment ni kubwa... Na kama nilivyosema imenivunja moyo kuona watu niliyo watengenezea hawaitumii.
Kama wataanza itumia, nitatengeza app ya simu.
Ya hoteli ina cost kubwa pia, kama nitapata atleast watu wahoteli 10 wakaniahidi kuitumia, nitatengeza faster...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ni changamoto
ukizubaa mtu mwingine ataibeba na kuiboresha

ondoa mentality kuwa unawasaidia watu
weka mentality kuwa umekuja na kitu mapema kuliko wakati wake
sasa wakati unakimbia mno
soon utashangaa watu wameiba idea yako na wanatengeneza mabilioni

Yahoo walivyoambiwa kuna kikampuni kinaitwa Google kinakuja na search engine
walicheka sana kwa dharau
hata google walipoiomba Yahoo iwanunue kwa one milion dollars tu Yahoo waligoma
leo Google wana thamani ya zaidi ya dollar bilion 300 na yahoo wameuzwa kwa
dollar billion 4 tu....

we umetangulia....hakikisha unafika
 
lipia tangazo

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Hiyo ni changamoto
ukizubaa mtu mwingine ataibeba na kuiboresha

ondoa mentality kuwa unawasaidia watu
weka mentality kuwa umekuja na kitu mapema kuliko wakati wake
sasa wakati unakimbia mno
soon utashangaa watu wameiba idea yako na wanatengeneza mabilioni

Yahoo walivyoambiwa kuna kikampuni kinaitwa Google kinakuja na search engine
walicheka sana kwa dharau
hata google walipoiomba Yahoo iwanunue kwa one milion dollars tu Yahoo waligoma
leo Google wana thamani ya zaidi ya dollar bilion 300 na yahoo wameuzwa kwa
dollar billion 4 tu....

we umetangulia....hakikisha unafika
Sawa sawa kaka... Nitarudi mezani kuyapanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa sawa kaka... Nitarudi mezani kuyapanga...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao wote wanaokuambia uwasaie kuweka picha
wasaidie ili na wewe uweze ku experience difficulties za users...uweze kuiboresha..

kumbuka watu wengi ni fuata upepo....hadi mtandao wako uwe maarufu level ya kupatana au zoomtanzania ndo wattu watakuelewa
kwa sasa kubali changamoto
 
auto_compare.png

Aisee watanzania sisi tuna matatizo, nadhani ndo maana tuna sua sua kwenye biashara. Baada ya kuangaika sana na mshikaji kutoka US kutafuta gari mitandaoni (shida haswa ni kuwa gari hazina details za kutosha yaani mpaka mpigiane simu sana) nikaamua kutumia elimu yangu kutengeneza website ya kutangaza magari bure. Yaani muuza magari aumizi kichwa, details zote anaweza weka kwa kuweka tick sehemu husika. No hustle.
add-a-car2.png

Tena nikaweka sehemu mbili za ku register yaani kwa muuza gari lake binafsi, na kwa wafanya biashara za kuuza magari (dealers)
Lakini bwana, duu watanzania wavivu, unamweleza mtu anaipenda frsh kabisa ila anataka wewe ndo mpigie picha magari yake na kumwekea mtandaoni. Sasa unajiuliza yaani nikutengeneze website kwa ajili ya wewe kufanya biashara bure kabisa, bado tena nikuweke magari? Really??

Mwingine anakwambia biashara ngumu. haa, yaani haelewi kuwa hiyo ni sababu tosha kutumia hiyo website (www.bongocars.com)

Yaani ni shida. Nikaongeza features kama za kuwasilianza na muuza mgari humo humo kwenye website (messaging) na hata kwa email pia bado ni shida. Picha unaweza weka mpaka ishirini kwa gari moja bado shida.

Alafu nilitaka kuweka sehemu ya kuomba mkopo wa gari, kupata bima ya gari na pia huduma ya kusafiri gari east africa ila kusema kweli nimevunjika moyo.

Kuna maelezo ya kwanini hii website ni nzuri hapa
Bongo Cars - 10 Reasons you should use Bongocars.com

Sasa nataka kutengeneza ya hoteli, guest house, lodge, hostel na hata watu wa tour ili waweze pokea booking na hata malipo online, hii nikutokana na shida ninayoipata (ambayo na nadhani wengi tunapata shida hiyo) ya kusafiri bila kujua utafikia wapi. Hasa pale unapofika usiku.
Ingawa hata ukifika mchana unajikuta umelala sehemu ya bei ya juu au huduma mbaya kwa sababu hujui sehemu nyingine. Ila sina imani na watanzania
Nimejaribu kuandika maelezo yake hapa
Neema kwa wenye Hoteli, Guest house, lodge, hostel, apartments na utalii
hotel-1.png

kuona kama itapata watu hasa wanojishughulisha na biashara hiyo (nimeweka form ya kujaza) ili nisijitese bure kama ya www.bongocars.com

NB: Naona comments nyingi zina suggest matangazo, naona tufanye hv, ingia kwenye website (www.bongocars.com) utaona icons za kushare, click share kwenye groups za whatsapp, facebook na kadhalika, then nitakuja kuleta mrejesho.
377733277a31184eb9e7bf72805e1010.jpg
Ila boss nmecheki website uko poa...for enterprenuers hii spirit ungeenda tu Extramile na kuwapigia Picha once ikikioff watakuja tu...its one thing kua na kipaji ila marketing ndo inatuumiza....ps hiyo idea ya [HASHTAG]#booking[/HASHTAG].com Bonge LA idea inabidi tutafute guest kama uber aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila boss nmecheki website uko poa...for enterprenuers hii spirit ungeenda tu Extramile na kuwapigia Picha once ikikioff watakuja tu...its one thing kua na kipaji ila marketing ndo inatuumiza....ps hiyo idea ya [HASHTAG]#booking[/HASHTAG].com Bonge LA idea inabidi tutafute guest kama uber aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kaka... Natatafuta vijana kadhaa waifanye hiyo kazi kuingiza magari.
Online booking yes ni good idea, inahitaje nikaze kweli kweli...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom