Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Huyu muandishi kapewa nyama ya mbuzi za kula siku mbili tatu anaanza kuongea maneno ya kusifia huyo mbunge wake Tabasamu.
Je, tasnia ndio inakufa kwa kupata waandishi ambao hawatajua kazi zao za msingi na kujipendekeza kwa wagombea.
Kama hali inakuwa hivi je waandishi watafanya kazi yao ya kuwakumbusha wajibu viongozi?
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je, tasnia ndio inakufa kwa kupata waandishi ambao hawatajua kazi zao za msingi na kujipendekeza kwa wagombea.
Kama hali inakuwa hivi je waandishi watafanya kazi yao ya kuwakumbusha wajibu viongozi?