Pre GE2025 Kwa staili hii tutegemee nini kuelekea uchaguzi?

Pre GE2025 Kwa staili hii tutegemee nini kuelekea uchaguzi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Huyu muandishi kapewa nyama ya mbuzi za kula siku mbili tatu anaanza kuongea maneno ya kusifia huyo mbunge wake Tabasamu.

Je, tasnia ndio inakufa kwa kupata waandishi ambao hawatajua kazi zao za msingi na kujipendekeza kwa wagombea.

Kama hali inakuwa hivi je waandishi watafanya kazi yao ya kuwakumbusha wajibu viongozi?


Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Huyu muandishi kapewa nyama ya mbuzi za kula siku mbili tatu anaanza kuongea maneno ya kusifia huyo mbunge wake Tabasamu.

Je, tasnia ndio inakufa kwa kupata waandishi ambao hawatajua kazi zao za msingi na kujipendekeza kwa wagombea.

Kama hali inakuwa hivi je waandishi watafanya kazi yao ya kuwakumbusha wajibu viongozi?
View attachment 2859824
HUKUNA WATU WANAFIKI KM WAANDISHI WA HABARI WA TANZANIA HAWA WOTE NI WACHUMIA TUMBO WENGI NI VILAZA
 
Huyu muandishi kapewa nyama ya mbuzi za kula siku mbili tatu anaanza kuongea maneno ya kusifia huyo mbunge wake Tabasamu.

Je, tasnia ndio inakufa kwa kupata waandishi ambao hawatajua kazi zao za msingi na kujipendekeza kwa wagombea.

Kama hali inakuwa hivi je waandishi watafanya kazi yao ya kuwakumbusha wajibu viongozi?
View attachment 2859824
Mbona Radio One na Wapo Radio ni jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom