Kwa staili mdogo wetu farid musa atatusua spain???

Kwa staili mdogo wetu farid musa atatusua spain???

mbwewe

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
3,267
Reaction score
3,404
Kwa muda sasa nimekuwa nafatilia .maendeleo ya kijana wetu farid musa aliyeko timu ya tenerife ya spain. Nimejaribu kufuatilia perfomance ya timu hyo hasa kwa nafasi anazocheza farid nimegundua nafasi izo zina mafundi wa hali ya juu na farid km anataka namba inabidi afanye juhudi kubwa mno!! Na hii inadhihirisha kucheza mpira ulaya c kitu rahisi km wengi wanavyodhani ,inahitajika kujitoa kwa nguvu zote ndyo upate nafasi.....sasa kila nikiangalia kiwango cha farid akija kuchezea taifa stars naona kbsa kiwango bado sana kiasi kwamba ananifanya niwe na wasiwasi km atatusua hadi kikosi cha kwanza! Ukiachana na hilo changamoto nyingine kwake nadhani ameenda kwny nchi ambayo ina utitiri wa vipaji kiasi kwamba ili upate nafasi inatakiwa uwe na vitu vingi vya ziada kitu ambacho sikioni kwa hyu mdogo wetu,....kwa hyo siku mkiskia mambo yamekuwa magumu spain anatka kurudi bongo msishangae zaidi ya hpo ajiongeze aende sweden au denmark
 
Mungu atamfanikisha hapo hapo wewe muombee tu
 
Hawez kutoboa ,kutoboa ulaya inahitaj kipaj halis hasa kwa mbongo
 
Sasa unampima kiwango akija kucheza na kina nyosso huku?unamwonea sawa na umpime Tembo kwa kumpa mti aukwee.
 
Dah! huko ulikokutaja mkuu ndio kugumu zaidi Kwani kuna mijitu ya "Miraba minne" inayomaliza beberu na ndoo ya ugali ya Lita 10 kwa jitu moja [emoji16] [emoji16] [emoji16] !!!
 
Bado liko tumaini, akae moyo konde, kuongeza juhudi kujifunza, umri unamruhusu kufundishika
 
Dah! huko ulikokutaja mkuu ndio kugumu zaidi Kwani kuna mijitu ya "Miraba minne" inayomaliza beberu na ndoo ya ugali ya Lita 10 kwa jitu moja [emoji16] [emoji16] [emoji16] !!!
Uko kaka awali ugali kabisa!
 
Back
Top Bottom