Kwa story za kuchangamsha genge tunaikaribia Kenya lakini kiuhalisia tumepigwa kanzu, Tulichowazidi labda ni muziki na mpira

Kwa story za kuchangamsha genge tunaikaribia Kenya lakini kiuhalisia tumepigwa kanzu, Tulichowazidi labda ni muziki na mpira

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia Mahindi lakini ukichunguza vizuri hapa kwetu kuna bidhaa nyingi sana za Kenya kuanzia kiwi, Viberiti, sabuni, mafuta ya mwilini, Blueband, pipi na mahitaji mengi sana.

1734554114443.png


Uwekezaji - Wakenya wengi wamefanya uwekezaji Tanzania wanakula mema ya rasilimali zetu, misituni wamejaa wanachanja mbao wanauza ulaya, Soko la maparachichi Kenya ni kinara kwa kuuza China na ulaya lakini ukichunguza ni wakenya wenye mashamba hapa Tanzania pamoja na madalali, Benki za Kenya zina share nzuri kwenye banking industry ya Tanzania mfano Equity Bank, ukija kwenye madini mengi yanasafirishwa Kenya kuuzwa, Kinara wa kuuza Tanzanite amewahi kuwa Kenya. Kiufupi tunajisifia tuna rasili mali lakini wakenya hufaidika nazo zaidi.

1734554238275.png

1734554266955.png


Diaspora - Kuna wakenya wengi sana Marekani, Ulaya, Asia, n.k. Lugha huwarahisishia kwenda majuu, ukiongeza na kupenda elimu kumesaidia wengi kupata kazi nzuri kama madaktari, wanasheria, maprofesa, n.k. Nyuma ya wanigeria na waghana, wanaofuatia kwenye black diaspora waliofanikiwa zaidi ni wakenya, Kuna wakenya kibao mitandao ya kijamii wana fundisha wenzao jinsi ya kwenda nje, Hapa bongo ukiingia tiktok ni comedy

1734554560362.png


Uwekezaji kutoka makampuni ya Nje - Kampuni kibao za nje zimeweka vianda Kenya kwa kuzingatia factors nyingi ikiwemo population kubwa iliyo elimika kwenye taaluma kibao, kitu kingine ni wepesi wa kuelewana kwa Lugha , Mazingira rafiki ya uwekezaji, n.k. kuna kampuni nyingi sana za ulaya zime invest Kenya.

1734555061830.png


Elimu - Wapo mbali mno, Ukiangalia hata mahojiano kwenye maandamano ya Gen Z ungeweza kuona jinsi walivyoelimika, Kwenye mashindano kadhaa mfano kulikuwa na Airtel University Challenge wakenya walitukimbiza mpaka unatamani kuzima TV, , Ukienda mitandao ya kijamii wanaweka comments zilizoshiba points tofauti na sisi watu wanagombania likes, Hizi shule za english medium ambazo wenye uwezo hulipia watoto kusoma waasisi wakuu ni walimu kutoka Kenya.

1734554898983.png



Lugha - Hapa tumepitwa mbali sana, Watanzania wengi mpaka Phd za Udsm lugha ni Tatizo, Lugha unayosomea kuanzia sekondari mpaka Phd inakupiga chenga utaishia kukariri vingi darasani ndio sababu ya elimu yetu kuwa poor, Watanzania wakifika ulaya au Marekani huwa ni wa kuonewa huruma vile lugha huwapa shida, Lugha inakufungulia ulimwengu kwa kiasi kikubwa sana, huwezi kuchukulia poa Language which is a means of communication.

1734554935230.png


Ajira -Tatizo la ajira ndani ya nchi wameanza kutumia advantage walizonazo, Ukienda Un pale Arusha kuna wakenya wengi wamejaa, Waziri wa ajira Kenya, Mr Alfred Mutua anapambana kila kukicha kuwatafutia wakenya ajira nhe ya nchi, Account yake ya Facebook imejaa post za nafasi za Kazi kwa Wakenya, Kenya imeweza kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji kutoka Ulaya, Marekani, n.k, kufungua makampuni huku wakenye wakifaidika na ajira, Mwaka huu Ujerumani imeingia makubaliano ya kuchukau wakenya laki 2 na nusu kwenye kazi za kitaaluma na zisizo za kitaaluma, Ukienda nchi za nje walimu wengi wa Kiswahili ni wakenya.

1734556294774.png
 
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia Mahindi lakini ukichunguza vizuri hapa kwetu kuna bidhaa nyingi sana za Kenya kuanzia kiwi, Viberiti, sabuni, mafuta ya mwilini, Blueband, pipi na mahitaji mengi sana.

Uwekezaji - Wakenya wengi wamefanya uwekezaji Tanzania wanakula mema ya rasilimali zetu, misituni wamejaa wanachanja mbao wanauza ulaya, Soko la maparachichi Kenya ni kinara kwa kuuza China na ulaya lakini ukichunguza ni wakenya wenye mashamba hapa Tanzania pamoja na madalali wanaonunua kwa bei chee sana wanaenda kuuza kwabeighali masoko ya kimataifa, Benki za Kenya zina share nzuri kwenye banking industry ya Tanzania mfano Equity Bank, ukija kwenye madini mengi yanasafirishwa Kenya kuuzwa, Kinara wa kuuza Tanzanite amewahi kuwa Kenya.

Connection kwenye soko la kimataifa - Hawa jamaa wapo connected sana kimataifa, Lugha inapanda, Elimu ipo, Diaspora wamejaa, n.k. Mtanzania utamkuta ana pesa lakini lugha haipandi, elimu ndo vile tena, kinachofuata ni kuwauzia wakenya kwa bei chee, wao wanapiga mshindo.

Uwekezaji kutoka makampuni ya Nje - Kampuni kibao za nje zimeweka vianda Kenya kwa kuzingatia factors nyingi ikiwemo population kubwa iliyo elimika kwenye taaluma kibao, kitu kingine ni wepesi wa kuelewana kwa Lugha , Mazingira rafiki ya uwekezaji, n.k. kuna kampuni nyingi sana za ulaya zime invest Kenya.

Elimu - Wapo mbali mno, Uwezo wa kutumia elimu hata kwenye maongezo ni mkubwa, Kwenye mashindano kadhaa mfano nakumbuka Airtel University Challenge, Wakenya walitukimbiza mpaka unatamani kuzima TV,

Diaspora - Kuna wakenya wengi sana Marekani, Ulaya, Asia, n.k. Lugha huwarahisishia kwenda majuu, ukiongeza na kupenda elimu kumesaidia wengi kupata kazi nzuri kama madaktari, wanasheria, maprofesa, n.k. Nyuma ya wanigeria na waghana, wanaofuatia kwenye black diaspora waliofanikiwa zaidi ni wakenya

Lugha - Hapa tumepitwa mbali sana, Watanzania wengi mpaka Phd za Udsm lugha ni Tatizo, Lugha unayosomea kuanzia sekondari mpaka Phd inakupiga chenga utaishia kukariri vingi darasani ndio sababu ya elimu yetu kuwa poor.

Mtanzania hata awe na degree ataenda kwa Rasta someone huko Arusha awe polished kuongea kiingereza, Watanzania wakifika ulaya au Marekani huwa ni wa kuonewa huruma vile lugha huwapa shida, Lugha inakufungulia ulimwengu kwa kiasi kikubwa sana, huwezi kuchukulia poa Language which is a means of communication.

Ajira - Kama nilivyosema tayari wana advantage ya Lugha, Elimu, Diaspora, n.k. Tatizo la uchache wa ajira ndani ya nchi wameanza kutumia advantage walizonazo za kuwa na sifa za ajira, mfano mwaka huu Ujerumani imeingia makubaliano ya kuchukau wakenya laki 2 na nusu kwenye kazi za kitaaluma na zisizo za kitaaluma, Ukienda nchi za nje walimu wengi wa Kiswahili ni wakenya, Waziri wao wa ajira na yeye anapambana kila siku kuwatafutia kazi huko nje ya nchi, unaweza kwenda kwenye account yake ya facebook, Alfred Mutua.
Factors zako ni dhaifu. Ila Ni kweli kwamba uchumi wao ni mkubwa kuliko wa kwetu. Factor kubwa ni mentality au mind set tu. Wao wana mind set ya kibepari, sisi tuna mind set ya kijamaa. Mind set ya kibepari inawatuma wakenya kutafuta mitaji na kujikusanyia mali.
 
mtanzania mpe chakula ashibe simba na yanga zishinde hakuna kitu kingine atawaza. zaid ya ngono

Tanzania kuna utegemezi ambao upo above expected line yani kwenye familia pakiwa na mtu mmoja mwenye ajira au uwezo kiuchumi bas atabebeshwa mzigo wa kusaidia ndugu ,na wazazi wote

reflection yake ni aliyesawa kiuchum anaijoin kweny chain ya ufukara indirectly
 
Factors zako ni dhaifu. Ila Ni kweli kwamba uchumi wao ni mkubwa kuliko wa kwetu. Factor kubwa ni mentality au mind set tu. Wao wana mind set ya kibepari, sisi tuna mind set ya kijamaa. Mind set ya kibepari inawatuma wakenya kutafuta mitaji na kujikusanyia mali.
Factors ni dhaifu kivipi wakati ndizo huwafanya watutangulie mbele, Sisi tumebaki kujisifia nchi imebarikiwa resources lakini bado tupo nyuma, wao wana human capital ndio maana wameweza kufika mpaka Tanzania kuzifaidi rasilimali zetu

Rasilimali muhimu zaidi kuzidi zote ni human capital, Mfano mdogo unaiona Israel haina rasilimali za kujitamba lakini wamewekeza kwenye Human Capital uchumi wao upo juu sana
 
Suala la akili na mindset
👇👇
Just imagine
 
Tuna safari ndefu kuifikia Kenya kiuchumi, kitu kimoja tu tunahitaji ni kubadili teaching language kutoka kiswahili kuwa English kuanzia chekechea to university.

Tatizo kubwa lililopo ni akili mgando za watunga sera waliozaliwa kijijini wakati wa ukoloni wasiotaka hilo litokee wakiwa ofisini. Hawa wengi ni wazee na wakifa wote sera itachange na nchi itafunguka, kwasasa tunakosa fursa nyingi toka nje sababu hatuwezi kuwasiliana na mapebari kwa lugha ya malkia.

Otherwise ni kweli kuwa bongo inapiga hatua kwa kasi kimaendeleo kuliko Kenya na SGR ikifika Mwanza na Kigoma na kuanza kubeba mizigo ya nchi jirani itakuwa kiama kwa Kenya ambayo inaelemewa na ufisadi na madeni makubwa ya nje, pamoja na ukabila na fujo za kisiasa.
 
Tuna safari ndefu kuifikia Kenya kiuchumi, kitu kimoja tu tunahitaji ni kubadili teaching language kutoka kiswahili kuwa English kuanzia chekechea to university.

Tatizo kubwa lililopo ni akili mgando za watunga sera waliozaliwa kijijini wakati wa ukoloni wasiotaka hilo litokee wakiwa ofisini. Hawa wengi ni wazee na wakifa wote sera itachange na nchi itafunguka, kwasasa tunakosa fursa nyingi toka nje sababu hatuwezi kuwasiliana na mapebari kwa lugha ya malkia.

Otherwise ni kweli kuwa bongo inapiga hatua kwa kasi kimaendeleo kuliko Kenya na SGR ikifika Mwanza na Kigoma na kuanza kubeba mizigo ya nchi jirani itakuwa kiama kwa Kenya ambayo inaelemewa na ufisadi na madeni makubwa ya nje, pamoja na ukabila na fujo za kisiasa.
Hata kwa SGR bado sana kuwafikia.

Kwanza bado ni aibu sana hata ikitokea muujiza wa kulingana kiuchumi na Kenya, Kwa jinsi nchi yetu ilivyo na rasilimali kibao ilibidi tuwe tunachechemea kwa uchumi ulioizidi Kenya mara 3

Kumbuka tuna bandari miaka nenda rudi, Hata sgr ikijengwa hali inaweza kuwa ile ile tu, watafaidika wachache, CAG akiandaa ripoti yake anaonekana mchochezi
 
Hata kwa SGR bado sana kuwafikia.

Kwanza bado ni aibu sana hata ikitokea muujiza wa kulingana kiuchumi na Kenya, Kwa jinsi nchi yetu ilivyo na rasilimali kibao ilibidi tuwe tunachechemea kwa uchumi ulioizidi Kenya mara 3

Kumbuka tuna bandari miaka nenda rudi, Hata sgr ikijengwa hali inaweza kuwa ile ile tu, watafaidika wachache, CAG akiandaa ripoti yake anaonekana mchochezi

..Uganda wameamua kujenga Sgr lakini itaelekea upande wa Kenya.
 
Na bongo fleva
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia Mahindi lakini ukichunguza vizuri hapa kwetu kuna bidhaa nyingi sana za Kenya kuanzia kiwi, Viberiti, sabuni, mafuta ya mwilini, Blueband, pipi na mahitaji mengi sana.

View attachment 3179900

Uwekezaji - Wakenya wengi wamefanya uwekezaji Tanzania wanakula mema ya rasilimali zetu, misituni wamejaa wanachanja mbao wanauza ulaya, Soko la maparachichi Kenya ni kinara kwa kuuza China na ulaya lakini ukichunguza ni wakenya wenye mashamba hapa Tanzania pamoja na madalali wanaonunua kwa bei chee sana wanaenda kuuza kwabeighali masoko ya kimataifa, Benki za Kenya zina share nzuri kwenye banking industry ya Tanzania mfano Equity Bank, ukija kwenye madini mengi yanasafirishwa Kenya kuuzwa, Kinara wa kuuza Tanzanite amewahi kuwa Kenya.

View attachment 3179901
View attachment 3179902

Diaspora - Kuna wakenya wengi sana Marekani, Ulaya, Asia, n.k. Lugha huwarahisishia kwenda majuu, ukiongeza na kupenda elimu kumesaidia wengi kupata kazi nzuri kama madaktari, wanasheria, maprofesa, n.k. Nyuma ya wanigeria na waghana, wanaofuatia kwenye black diaspora waliofanikiwa zaidi ni wakenya, Kuna wakenya kibao mitandao ya kijamii wana fundisha wenzao jinsi ya kwenda nje, Hapa bongo ukiingia tiktok ni comedy

View attachment 3179913

Uwekezaji kutoka makampuni ya Nje - Kampuni kibao za nje zimeweka vianda Kenya kwa kuzingatia factors nyingi ikiwemo population kubwa iliyo elimika kwenye taaluma kibao, kitu kingine ni wepesi wa kuelewana kwa Lugha , Mazingira rafiki ya uwekezaji, n.k. kuna kampuni nyingi sana za ulaya zime invest Kenya.

View attachment 3179924

Elimu - Wapo mbali mno, Ukiangalia hata mahojiano kwenye maandamano ya Gen Z ungeweza kuona jinsi walivyoelimika, Kwenye mashindano kadhaa mfano kulikuwa na Airtel University Challenge wakenya walitukimbiza mpaka unatamani kuzima TV, , Ukienda mitandao ya kijamii wanaweka comments zilizoshiba points tofauti na sisi watu wanagombania likes, Hizi shule za english medium ambazo wenye uwezo hulipia watoto kusoma waasisi wakuu ni walimu kutoka Kenya.

View attachment 3179919


Lugha - Hapa tumepitwa mbali sana, Watanzania wengi mpaka Phd za Udsm lugha ni Tatizo, Lugha unayosomea kuanzia sekondari mpaka Phd inakupiga chenga utaishia kukariri vingi darasani ndio sababu ya elimu yetu kuwa poor, Watanzania wakifika ulaya au Marekani huwa ni wa kuonewa huruma vile lugha huwapa shida, Lugha inakufungulia ulimwengu kwa kiasi kikubwa sana, huwezi kuchukulia poa Language which is a means of communication.

View attachment 3179920

Ajira -Tatizo la ajira ndani ya nchi wameanza kutumia advantage walizonazo, Waziri wa ajira Kenya, Mr Alfred Mutua anapambana kila kukicha kuwatafutia wakenya ajira nhe ya nchi, Account yake ya Facebook imejaa post za nafasi za Kazi kwa Wakenya, Kenya imeweza kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji kutoka Ulaya, Marekani, n.k, kufungua makampuni huku wakenye wakifaidika na ajira, Mwaka huu Ujerumani imeingia makubaliano ya kuchukau wakenya laki 2 na nusu kwenye kazi za kitaaluma na zisizo za kitaaluma, Ukienda nchi za nje walimu wengi wa Kiswahili ni wakenya.

View attachment 3179926
 
Very poor perception,
Wakenya wanatuuzia bidhaa ndogo ndogo lakini export yetu nje na around East Africa ni kubwa mno, (Kenya is a small part) Tanzania ina supply in a whole East African countries + drc, mabati , ceiling board, plastic good, coal, cement, tiles na bidhaa zetu huko EA ni hot cake, hii volume huwezi iona endapo upo tu dar na nadharia, kaa boarder uone kazi jinsi tons of cargo zikiondoka, -,mapato ya kutegemeana diaspora haya lakini muhimu kwa kiasi chake!
 
Huo ni upande wa kwanza, ngoja tuubomoe ukuta tupite upande wapili tuone siri ilikofichwa! Tanzania pia tumewafunika kenya kwa haya:


Biashara ndani ya Nchi;
•Tanzania ni kitovu cha biashara kikanda kupitia Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni muhimu kwa nchi zisizopakana na bahari kama Zambia, DR Congo, Malawi, na Burundi. Hii inaiweka Tanzania kwenye nafasi nzuri kwenye biashara ya kimataifa.


Rasilimali;
•Tanzania tunajivunia utajiri mkubwa wa rasilimali kama gesi, dhahabu, Tanzanite (ambayo inapatikana Tanzania pekee duniani), na ardhi yenye rutuba. Hoja kwamba Wakenya wanafaidika siyo tatizo, bali ni fursa ya Tanzania kuvutia wawekezaji zaidi.


Uwekezaji wa Kimataifa;
•Tanzania imeboresha mazingira ya uwekezaji kupitia sera kama "Blue Economy" na miradi mikubwa kama bomba la mafuta la EACOP (Tanzania na Uganda), ambalo ni mfano wa kuonyesha uwezo wa ushawishi katika uwekezaji wa kimataifa.

Unajua, Bagamoyo inatarajiwa kuwa moja ya bandari kubwa zaidi Afrika, Hii inaonyesha hatua za kukua kiuchumi.


Elimu na Lugha;
Tanzania imewekeza katika elimu kupitia mfumo wa Elimu bila Malipo ambao unahakikisha watoto wengi wanapata nafasi ya kusoma.


Unajua hata kenya wamerasimisha kiswahili kama lugha ya Taifa, inayumika hadi bungeni kwasasa na usisahau kwamba Kiswahili ni lugha ya Umoja wa Afrika.

Tanzania ni kinara katika kueneza Kiswahili duniani, huku walimu wetu wakihitajika Afrika Kusini, Marekani, na Ulaya. Hii ni alama ya mafanikio mfano Mwl. Roma Mkatoliki.


Utamaduni na Ubunifu;
•Tanzania inazidi kuonekana kimataifa kupitia sanaa na burudani, hasa muziki wa Bongo Fleva na filamu za Swahiliwood. Wasanii wa Tanzania kama Diamond Platnumz, Harmonize, na Zuchu wana soko kubwa Afrika na nje ya bara.


Pia, usisahau Tanzania ni kivutio kikuu cha utalii duniani kutokana na vivutio vya pekee kama Mlima Kilimanjaro, Serengeti, na Zanzibar.


Uchumi;
•Serikali ya Tanzania imejitahidi kuweka juhudi za kuleta ajira kwa vijana kupitia miradi ya kimkakati kama Reli ya SGR, Mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere, na sera za viwanda vidogo na vikubwa.


Changamoto ulizotaja katika hoja zako zinaweza kutumika kama nafasi ya kujifunza na kujiboresha. Tanzania inaongoza kwa utulivu wa kisiasa, rasilimali, na vivutio vya utalii.


Unafahamu kuwa hata Kenya pia inakabiliwa na changamoto za ajira?



•Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana. Ripoti za Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa zaidi ya 39% ya vijana nchini Kenya hawana ajira rasmi tofauti na Tanzania 14%.


•Takriban 80% ya ajira nchini Kenya zipo katika sekta zisizo rasmi, ambazo hazitoi usalama wa kazi wala mafao ya kijamii.


•Kazi za Nje si Suluhisho;
Ingawa waziri Alfred Mutua amekuwa akitafuta nafasi za ajira kwa Wakenya nje ya nchi, nafasi hizi haziwezi kutatua tatizo la msingi, kwani ni wachache tu ndio hua wanapata kazi hizo.


Kwa mfano, mwaka 2023, mpango wa Ujerumani kuchukua Wakenya 250,000 haukufanikiwa kikamilifu kwa sababu wengi walishindwa kukidhi vigezo vya lugha na utaalam.


•Wataalamu wa Kenya hawanufaishi nchi yao;
Hali ya Wakenya wenye ujuzi mkubwa kuondoka nchini kwenda kufanya kazi nje (brain drain) inasababisha upungufu wa wataalamu ndani ya Kenya. Hili linadhoofisha sekta kama afya, uhandisi, na elimu.


Changamoto ya Ajira Ndani ya Nchi;
Ripoti za hivi karibuni zinaonyesha kuwa kuna mgawanyo usio sawa wa nafasi za ajira Kenya, ambapo wengi waajiriwa wanatoka miji mikubwa kama Nairobi na Mombasa, huku vijijini kukiwa na nafasi chache za ajira.


Changamoto za ukuaji wa sekta za uzalishaji kama viwanda zimezorotesha uwezo wa Kenya kuunda nafasi mpya za kazi.



•Shinikizo la Kiuchumi;
Kenya inakabiliwa na deni kubwa la taifa, ambalo limeathiri uwekezaji wa serikali katika miradi ya kuunda ajira. Takwimu za mwaka 2024 zinaonyesha kuwa deni la Kenya limefikia takriban $75 bilioni, na kufanya iwe vigumu kwa serikali kuwekeza katika ajira.


Kupanda kwa gharama ya maisha (bei za bidhaa na kodi ya juu) kunafanya hata walio na kazi nchini Kenya kuwa na ugumu wa kujikimu.


Hali ngumu ya ajira si changamoto ya Tanzania pekee; hata Kenya inakabiliana na hali ngumu zaidi, ikiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana, ajira zisizo rasmi, na ugumu wa maisha kwa walio na kazi.


Kinachohitajika ni mikakati ya kikanda ya kutatua tatizo hili badala ya kuangalia nani bora au nani anayeathirika zaidi.


Ibn Unuq.
 
GDP = C + I + G (N - X)

IMG_7644.jpeg


Sio rahisi hivyo kama tunavyotaka kuyaongelea,,you have to justify them principally.

Huwezi kujiandikia tu upuuzi kutoka kichwani kwako.

Kama nchi shida ni kubwa, many people can’t write.

Mąkosa ya A/H sio msingi wa uelewa

Grammar/spelling sio sehemu kubwa ya marking.

Argument ndio msingi wa uelewa, you can’t argue kama ujasoma topic kwa kina to formulate an hypothesis.

Wazungu wanaoendesha nchi zao sio watu wa mzaha-mzaha kabisa (hiyo civil services yao).

Maendeleo yana tested formula watu hawa bahatishi.

Kama nchi bado sana.
 
Very poor perception,
Wakenya wanatuuzia bidhaa ndogo ndogo lakini export yetu nje na around East Africa ni kubwa mno, (Kenya is a small part) Tanzania ina supply in a whole East African countries + drc, mabati , ceiling board, plastic good, coal, cement, tiles na bidhaa zetu huko EA ni hot cake, hii volume huwezi iona endapo upo tu dar na nadharia, kaa boarder uone kazi jinsi tons of cargo zikiondoka, -,mapato ya kutegemeana diaspora haya lakini muhimu kwa kiasi chake!
Mtoa mada angefanya research ya kutembelea border zetu tulizopakana na kenya ili ajionee bidhaa za TZ zinazoenda kenya na za kenya zinazokuja TZ,bidhaa za TZ unaweza kukuta zaidi ya trucks 50 zinaingiza mahindi,vitunguu n.k kenya,halafu kivan ki1 toka kenya kinaleta cofta na panadol TZ,shida ipo kwa serikali na tbs yake wapo local sana kwenye masuala ya takwimu
 
Back
Top Bottom