Mtaule mgunda
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 193
- 61
Nikiwa maeneo fulani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya Yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya kwanza na yanga walishacheza huko mbeya kwanza alikufa 2Nikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Wafungwe tuuNikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Umekutana nao waanza kukuambia !? Unafadika na nini kwenye uongo?Nikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Wakijilinda mwanzo mwisho tutawafunga kirahisi mno...kiufupi ni ngumu kuizuia yanga hiiNikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Wapi nmesema mechi itakuwa songea?We mleta mada zwazwa haswa. Yanga Hana mechi na Mbeya Kwanza Songea, Ila Mechi hii itachezwa BWM au Lupaso stadium hapa jijini DSM
Kwamba game 2 Yanga anacheza away?Nikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
aliyekwambia nan kwamba ukilinda lango hufungwi?Nikiwa maeneo flani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
umesema bhana sasa unataka kukataa? umeswma game dhidi ya yanga hapa SongeaWapi nmesema mechi itakuwa songea?
Lijinga wewe, yaani Yanga acheze mechi zote na Mbeya kwanza ugenini? Waambie wanakuja kwa Mkapa wajiandae! Mwaka huu wanashuka daraja wampishe Ihefu!Nikiwa maeneo fulani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya Yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Lakn mbeya kwanza wakicheza kama prison wataondoka hata na point 1Lijinga wewe, yaani Yanga acheze mechi zote na Mbeya kwanza ugenini? Waambie wanakuja kwa Mkapa wajiandae! Mwaka huu wanashuka daraja wampishe Ihefu!
Yanga ana mechi na Mbeya City Sokoine Stadium Mbeya! Mbeya Kwanza atacheza na Yanga kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa DSM! Na siyo Songea.Nikiwa maeneo fulani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya Yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Yanga ana mechi na Mbeya City Sokoine Stadium Mbeya! Mbeya Kwanza atacheza na Yanga kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa DSM! Na siyo Songea.
Na kwa kile kikosi chake kibovu, na kilichojikatia tamaa ya kuendelea kubakia ligi kuu! Lazima kipigwe goli za kutosha tu. Hata wapewe msaada gani na wazee wa juju, bado kipigo kiko palepale.