TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mkuu mimi ni baba yake hivyo lazima iwepo!Wewe ni mwanamfumo na upo huko ndani Cha ajabu unatulalamikia wananchi wa kawaida,lini utaacha upopoma?
TUKANA UONE
We bint una matusi!!Ili 'Nikukaze' vizuri?
Acha matusi we chokoIli 'Nikukaze' vizuri?
Bado ninaamini sababu ya Rwanda kuwa safi si Wanyarwanda tu wenyewe bali mh.Rais PAUL KAGAME na maono yake...."Naam Amri Masare yaani tokea tuingie Rwanda na Msafara wa Mashabiki wa Yanga SC na sasa tunakaribia Jijini Kigali hatujakutana na Trafiki yoyote, Beria yoyote wala matuta ya Kupunguza mwendo barabarani na nchi ya Rwanda ni Safi hadi hata kutupa Takataka unaona Aibu na tumezihifadhi tu ndani ya Gari zitatupwa sehemu Maalun tukifika" Sauti ya Mtangazaji wa ITV na Radio One Hosea Mchopa akiwa njiani na Msafara wa Mashabiki wa Timu ya Yanga SC kuelekea Kigali nchini Rwanda Mchana huu wa Leo.
Hosea Mchopa nami GENTAMYCINE nakujibu kuna Taifa Moja Afrika nimelisahau Jina lenyewe Jiji lake Kuu Moja ni Chafu, Wakazi wa huo Mji nao Akili hawana ( na kama wanazo ni za Kuvukia tu Barabara na Kuchamba Maliwatoni ) na wana Trafiki kama Nzi wa Chooni kila baada ya Mita 50 au 100 na ni Taifa ambalo lipo lipo tu huku likizidiwa Maendeleo ya Israeli ya Afrika ( Rwanda )
Ukiona hadi GENTAMYCINE nalipenda Taifa la Rwanda ( Israeli ya Afrika ) jua nimeshajiridhisha nayo kuanzia Rais wao nimpendae hakuna mfano na Wananchi wote wa Rwanda kwakuwa wana Akili kuliko wale wanaotaka kugawa Rasilimali Maji zao kwa Emirati Wapigaji.
Rubish.Kusifia nchi za wengine ni uchoko kabisa.
Hivi kwa akili za kawaida unaeza fananisha population ya rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza fananisha kiwango cha uzalishaji taka za aina yoyote kati ya Rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kulinganisha bajeti inayotakiwa kuweka mazingira safi kati ya Rwanda na Tanzania kwa ku–relate geographical area ya hizi nchi?
Ukipata majibh ya hayo maswali huwezi kuandika upuuzi huu.
Hivi maccm mbona mnakimbilia Sana kwenye hii Hoja ya udogo wa Rwanda? Mbona mnakua pomoma hivyo. Nani kakuambia usafi ni udogo wa eneo? Nchi kma china unaweza ukakuta huu ushuzi wako hapa.Kusifia nchi za wengine ni uchoko kabisa.
Hivi kwa akili za kawaida unaeza fananisha population ya rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza fananisha kiwango cha uzalishaji taka za aina yoyote kati ya Rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kulinganisha bajeti inayotakiwa kuweka mazingira safi kati ya Rwanda na Tanzania kwa ku–relate geographical area ya hizi nchi?
Ukipata majibh ya hayo maswali huwezi kuandika upuuzi huu.
Usafi ni utashi tu,zipo nchi zenye population kubwa zaidi yetu lkn zinazingatia usafiKusifia nchi za wengine ni uchoko kabisa.
Hivi kwa akili za kawaida unaeza fananisha population ya rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza fananisha kiwango cha uzalishaji taka za aina yoyote kati ya Rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kulinganisha bajeti inayotakiwa kuweka mazingira safi kati ya Rwanda na Tanzania kwa ku–relate geographical area ya hizi nchi?
Ukipata majibh ya hayo maswali huwezi kuandika upuuzi huu.
Huyo mtangazaji kanitia aibu sana !"Naam Amri Masare yaani tokea tuingie Rwanda na Msafara wa Mashabiki wa Yanga SC na sasa tunakaribia Jijini Kigali hatujakutana na Trafiki yoyote, Beria yoyote wala matuta ya Kupunguza mwendo barabarani na nchi ya Rwanda ni Safi hadi hata kutupa Takataka unaona Aibu na tumezihifadhi tu ndani ya Gari zitatupwa sehemu Maalun tukifika" Sauti ya Mtangazaji wa ITV na Radio One Hosea Mchopa akiwa njiani na Msafara wa Mashabiki wa Timu ya Yanga SC kuelekea Kigali nchini Rwanda Mchana huu wa Leo.
Hosea Mchopa nami GENTAMYCINE nakujibu kuna Taifa Moja Afrika nimelisahau Jina lenyewe Jiji lake Kuu Moja ni Chafu, Wakazi wa huo Mji nao Akili hawana ( na kama wanazo ni za Kuvukia tu Barabara na Kuchamba Maliwatoni ) na wana Trafiki kama Nzi wa Chooni kila baada ya Mita 50 au 100 na ni Taifa ambalo lipo lipo tu huku likizidiwa Maendeleo ya Israeli ya Afrika ( Rwanda )
Ukiona hadi GENTAMYCINE nalipenda Taifa la Rwanda ( Israeli ya Afrika ) jua nimeshajiridhisha nayo kuanzia Rais wao nimpendae hakuna mfano na Wananchi wote wa Rwanda kwakuwa wana Akili kuliko wale wanaotaka kugawa Rasilimali Maji zao kwa Emirati Wapigaji.
Unamaansha nchi kubwa ni mzigo mzito Africa. Bora kuwa na nchi ndogo ndogo ili ziwe safiKusifia nchi za wengine ni uchoko kabisa.
Hivi kwa akili za kawaida unaeza fananisha population ya rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza fananisha kiwango cha uzalishaji taka za aina yoyote kati ya Rwanda na Tanzania?
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kulinganisha bajeti inayotakiwa kuweka mazingira safi kati ya Rwanda na Tanzania kwa ku–relate geographical area ya hizi nchi?
Ukipata majibh ya hayo maswali huwezi kuandika upuuzi huu.
Wanahirisha kufikiri kwanafsi kwasababu ya kujipendekeza kwa viongozi wao nakufuata mkumbo, (unyumbu) kwa kutumikia kundi fulani hatakama hilo jambo litaathiri vizazi vijavyo ama vilivyopo, (conflict of interest) .Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objectives and flattering their leaders"Naam Amri Masare yaani tokea tuingie Rwanda na Msafara wa Mashabiki wa Yanga SC na sasa tunakaribia Jijini Kigali hatujakutana na Trafiki yoyote, Beria yoyote wala matuta ya Kupunguza mwendo barabarani na nchi ya Rwanda ni Safi hadi hata kutupa Takataka unaona Aibu na tumezihifadhi tu ndani ya Gari zitatupwa sehemu Maalun tukifika" Sauti ya Mtangazaji wa ITV na Radio One Hosea Mchopa akiwa njiani na Msafara wa Mashabiki wa Timu ya Yanga SC kuelekea Kigali nchini Rwanda Mchana huu wa Leo.
Hosea Mchopa nami GENTAMYCINE nakujibu kuna Taifa Moja Afrika nimelisahau Jina lenyewe Jiji lake Kuu Moja ni Chafu, Wakazi wa huo Mji nao Akili hawana ( na kama wanazo ni za Kuvukia tu Barabara na Kuchamba Maliwatoni ) na wana Trafiki kama Nzi wa Chooni kila baada ya Mita 50 au 100 na ni Taifa ambalo lipo lipo tu huku likizidiwa Maendeleo ya Israeli ya Afrika ( Rwanda )
Ukiona hadi GENTAMYCINE nalipenda Taifa la Rwanda ( Israeli ya Afrika ) jua nimeshajiridhisha nayo kuanzia Rais wao nimpendae hakuna mfano na Wananchi wote wa Rwanda kwakuwa wana Akili kuliko wale wanaotaka kugawa Rasilimali Maji zao kwa Emirati Wapigaji.
Nilikuomba 'Papa' ukaniambia hivyo.Umejuaje mwali wangu?
ANGALIZOHuna akili, unaandikaga ushuzi tu [emoji38][emoji38][emoji38]