Elections 2010 Kwa taarifa kuwa Dialo kakubali kusign

Elections 2010 Kwa taarifa kuwa Dialo kakubali kusign

Amigo

Senior Member
Joined
Mar 7, 2009
Posts
150
Reaction score
3
Habari kutoka Mwanza kuwa Dialo kakubali kusign matokeo so Mwanza CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
habari kutoka mwanza kuwa dialo kakubali kusign matokeo so mwanza chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

safi sana dialo huo ni uungwana! Jaribu tena 2005
 
At last.....Anaonyesha hekima huyu, we can at least consider you!
 
Sasa Diallo atapata wasaa wakukaa na kuangalia biashara zake vizuri kama Mengi na kua karibu na wananchi.
 
Ni kweli Dialo kakubali ila haka kengine ka brothermen sijui kwa ninin hakataki..
tabia zake hazina mvuto harafu anang'ang'ania matokeo...:tape:
 
Nilijua tu akatae kwani ana hati/ haki miliki ya jimbo?
 
I know Dialo ni mstaarabu ila Masha sijui ndo ujana maji ya moto
 
Dialo ameonyesha ukomavu mkubwa laiti Masha na Batilda wangekuwa na moyo wa jinsi hii Tanzania ingeendelea kuwa kisiwa cha amani.
 
Huko ndiko kukua kisiasa. Lakini huyu ni tofauti na Masha kwani hategemei ubunge kulisha familia yake
 
Pole sana Anthony lakini unastahili pongezi kwa uungwana ulioonyesha wa kukubali matokeo, ndiyo maana ya ushindani mkubwa.
 
Back
Top Bottom