- Thread starter
- #41
sie tunaumia na kushuka kwake ndo maana tunamshauri bt nyie shabiki mandaz mnasifia tu bila kujali uhalisia wa mamboHakuna ukweli dogo anawaumiza sana ndo maana mwarabu koko aliuputa mkono wake msibani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sie tunaumia na kushuka kwake ndo maana tunamshauri bt nyie shabiki mandaz mnasifia tu bila kujali uhalisia wa mamboHakuna ukweli dogo anawaumiza sana ndo maana mwarabu koko aliuputa mkono wake msibani
tuliza boli mkuu, mwenye chuki ni yule anaesifia tu bila kukueleza ukweli ambao utakusaidia ujipange.Utakufa masikini ukimsubiria kijana wa watu anayetafuta pesa ashuke kimaisha na kimuziki..mana kwa chuki mnayompa ndio mana mna hofu kubwa naye hata mkono msibani hamumpi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hatua alopiga mondi si yakulilia tuzo tena, concert zote kubwa yeye ndo parfomer, billboard wanamtolea mfano kwani hawawaoni kina burna? nimeamini akili za kimaskini hua hazioni mbele.Kila mtu mnamshaur nyie bwanaaa mshaurini jamaa yenu mnaesema kaiteka Africa afu tuzo wanachukua akina BURNA mbna mwanzo alikuwa anapata tuzo nyingi sa hivi hamna kamshaurini sasa achaneni na MMAKONDE.
Halafu sijui huwa wanajitoa akili ""!!!Harmonize kwa sasa anatafuta funs base yake, kwa hilo siwezi shangaa ila zuchu anatumia funs wa WCB na wala sio shabiki zake..unatakiwa ufahamu hilo mkuu..
Achana na kiazi huyoHarmonize kwa sasa anatafuta funs base yake, kwa hilo siwezi shangaa ila zuchu anatumia funs wa WCB na wala sio shabiki zake..unatakiwa ufahamu hilo mkuu..
Thread closedHarmonize kwa sasa anatafuta funs base yake, kwa hilo siwezi shangaa ila zuchu anatumia funs wa WCB na wala sio shabiki zake..unatakiwa ufahamu hilo mkuu..
Iv mbona mnataman kuskia uyu mmakonde kaangukakuupindisha ukweli kamwe hakutowahi msaidia harmo, njia pekee itakayomfaa ni kuambiwa ukweli.
Harmonize kwa sasa anatafuta funs base yake, kwa hilo siwezi shangaa ila zuchu anatumia funs wa WCB na wala sio shabiki zake..unatakiwa ufahamu hilo mkuu..
Honestly naona unamuonea bure muanzisha topic. Wewe mwenye vyanzo vingine vya takwimu ndio ungevileta hapa jukwaani ili kuonesha kuwa muanzisha topic hayuko sahihi. Yeye kagusia YouTube, wewe lete hivyo vingine unavyovijua.Washamba wengi mmekariri you tube.
Hao wasanii uliowataja hapo wote wana platforms zaid ya 12 tofauti na you tube watu wanastream online.
Rudi kafanye research upya kwenye all more than 12 platform ulete tena mrejesho hapa.
Zile zilikuwa kauli za walevi. Usiziamini Mkuu.zirejeeni kauli zenu za nyuma kua harmo kwa sasa ni mkubwa kuliko mondi then uangalie na ulichoandika kama vina uuwiano.
Mimi sikupi samaki, nakufundisha namna ya kuvua samaki akili yako inatakiwa ichangamke.Honestly naona unamuonea bure muanzisha topic. Wewe mwenye vyanzo vingine vya takwimu ndio ungevileta hapa jukwaani ili kuonesha kuwa muanzisha topic hayuko sahihi. Yeye kagusia YouTube, wewe lete hivyo vingine unavyovijua.
Sasa unakosoa kwa kumpa kazi aliyeleta takwimu za YouTube akatafute vyanzo vingine, wewe unajuaje kuwa hivyo vyanzo vingine anavifahamu!? Mleta mada kazungumzia YouTube hutaki weka takwimu za hizo platforms zako. Akili yako ikichangamka inatosha mdau.Mimi sikupi samaki, nakufundisha namna ya kuvua samaki akili yako inatakiwa ichangamke.
Hutaki kwenda kuvua mwenyewe baki hapo andelea kujifungia kwenye box.
Dogo nimempa assignment akafanye research upya na ameenda,Sasa unakosoa kwa kumpa kazi aliyeleta takwimu za YouTube akatafute vyanzo vingine, wewe unajuaje kuwa hivyo vyanzo vingine anavifahamu!? Mleta mada kazungumzia YouTube hutaki weka takwimu za hizo platforms zako. Akili yako ikichangamka inatosha mdau.