Kwa takwimu hizi ni kwamba hatuna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Kwa takwimu hizi ni kwamba hatuna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Youngblood

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,433
Reaction score
56,810
Kimsingi hatuna Jeshi la zimamoto na uokoaji, Report ya CAG inaeleza.

1. Upungufu wa vituo 283,370 vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%.

2. Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na asilimia 91%.

3. Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi kwa kufanya maamuzi.

4. Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana, siku moto ukitokea bungeni, au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea.
 
Wizara ya Mambo ya Ndani ilinunua magari matatu ya injini za zimamoto yenye thamani ya Sh. bilioni 2.98 kutoka kwa mtengenezaji asiyeruhusiwa.

Hata hivyo, malori hayo ya injini hizo za zimamoto yalikuwa bado hayajawasilishwa hadi kufikia wakati wa ukaguzi wangu Desemba 2022 (kupelekea ucheleweshwaji wa kipindi cha miezi 24) licha ya ukweli kwamba muuzaji alikuwa amelipwa kiasi cha Sh. bilioni 2.23 mnamo mwezi Februari 2021 kuwa asilimia 75 ya gharama zote na hakuna gharama za ucheleweshwaji zilizokatwa kulingana na matakwa ya Kanuni ya 243(5) (b) ya Kanuni za Ununuzi wa Umma, 2013.
 
Kimsingi hatuna jeshi la zimamoto na uokoaji,Report ya CAG inaeleza.

1.Upungufu wa vituo 283,370
vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto kwa asilimia 99.4%

2.Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na
asilimia 91%

3.Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa
moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi
kwa kufanya maamuzi.

4.Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto
katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana,siku moto ukitokea bungeni,au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea
My take.
Hii ni hatari sana,siku moto ukitokea bungeni au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea


Hapo naomba moto utokee hata leo tena muda huu...TAKATAKA tupu kazi kulinda lichama tu.
 
My take.
Hii ni hatari sana,siku moto ukitokea bungeni au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea


Hapo naomba moto utokee hata leo tena muda huu...TAKATAKA tupu kazi kulinda lichama tu.
Punguza hasira kiongozi
 
Je serikali haiwezi kulibinafsisha hili shirika ili kuongeza ufanisi au kutakuwa na changamoto zaidi?
 
Kimsingi hatuna jeshi la zimamoto na uokoaji,Report ya CAG inaeleza.

1.Upungufu wa vituo 283,370
vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto kwa asilimia 99.4%

2.Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na
asilimia 91%

3.Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa
moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi
kwa kufanya maamuzi.

4.Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto
katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana,siku moto ukitokea bungeni,au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea
Kama Mmoja wa Wakuu wao ni Mwanamke asiye na Historia ya Management and Administration kokote pale ila kapandishwa tu Cheo na kawekwawekwa Kunakoshangaza aitwae Puyo Nzalayimisi unategemea jipya kutoka katika hilo Jeshi?
 
2.Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na
asilimia 91%

3.Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa
moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi
kwa kufanya maamuzi.
Hawa jamaa ni wahuni, walikwenda kumtafuta mtoto aliyezama kwenye dimbwi kwa kutumia gongo la kutembelea mlemavu pale Mlimani City, wakakoroga maji wakashindwa, mwananchi mmoja (kwa leo angeitwa Majaliwa One) akajitosa akazama kwa dakika kadhaa akaibuka na mtoto
 
Hawa jamaa ni wahuni, walikwenda kumtafuta mtoto aliyezama kwenye dimbwi kwa kutumia gongo la kutembelea mlemavu pale Mlimani City, wakakoroga maji wakashindwa, mwananchi mmoja (kwa leo angeitwa Majaliwa One) akajitosa akazama kwa dakika kadhaa akaibuka na mtoto
Hao ilibidi hapo hapo wachezee kchapo kikali
 
Kimsingi hatuna jeshi la zimamoto na uokoaji,Report ya CAG inaeleza.

1.Upungufu wa vituo 283,370
vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%

2.Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na
asilimia 91%

3.Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa
moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi
kwa kufanya maamuzi.

4.Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto
katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana,siku moto ukitokea bungeni,au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea
Suala la UOKOAJI halipo na wala hatuliwezi. Kitu ambacho kipo miaka yote ni UOPOAJI.
Ndiyo, ni UOPOAJI wa miili ya Wahanga wa Majanga mbalimbali yanayotokea hapa nchini.
 
Moto ukitokea mlima Kilimanjaro hawa Zimamoto huwa wanatumia matawi ya miti kupambaana moto. Aibu naona mimi.

Kwenye ajali za majini jeshi la uokoaji huwa linasimama ufukweni badala kuchupa kwenye maji ili kuokota watu.
🤣 😂😂😂 nchi ya wapumbavu sana hii
 
ukipata kazi zimamoto umeula full kulala ofisini
 
Back
Top Bottom