njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Alafu ajira kwa mwaka nafasi 150 jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Hanang wanatoa macho tuukipata kazi zimamoto umeula full kulala ofisini
Ni aibu kubwa sana kwakweliHawa waheshimiwa wangebaki na jukumu la ZIMAMOTO tu hili la uokozi wawaachie wanachi tu mtaani. Bukoba, sasa Manyara uokozi mzozo
Harakati za uokoaji au sioTupo site msituseme Sana View attachment 2833073
Ndio mkuu jeshi tupo site watanzania msiwe na wasiwasiHarakati za uokoaji au sio
JW wanafanya kazi nzuri kuliko hao wa motoKimsingi hatuna Jeshi la zimamoto na uokoaji, Report ya CAG inaeleza.
1. Upungufu wa vituo 283,370 vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%.
2. Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na asilimia 91%.
3. Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi kwa kufanya maamuzi.
4. Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.
My take.
Hii ni hatari sana, siku moto ukitokea bungeni, au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea.
Inatia hasira mkuu,sasa unajiuliza hapo wanafanya nini juu ya batiNdio mkuu jeshi tupo site watanzania msiwe na wasiwasi
Waliomba bajeti ya kuagiza vifaa vya kisasa vya uokoaji wa uzimaji moto, lakini mwendazake anawageuzia kibao na akawa anamshangiliwa kwamba eti kaibua ufisadi, wameamua kutulia sasa.Kimsingi hatuna Jeshi la zimamoto na uokoaji, Report ya CAG inaeleza.
1. Upungufu wa vituo 283,370 vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%.
2. Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na asilimia 91%.
3. Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi kwa kufanya maamuzi.
4. Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.
My take.
Hii ni hatari sana, siku moto ukitokea bungeni, au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea.
Bajeti ya jeshi la zimamoto na uokoaji bado ni ndogo sanaWaliomba bajeti ya kuagiza vifaa vya kisasa vya uokoaji wa uzimaji moto, lakini mwendazake anawageuzia kibao na akawa anamshangiliwa kwamba eti kaibua ufisadi, wameamua kutulia sasa.
Kwa kuwa wanaona wakinunua yale maroli ya kuzimia moto ndiyo wamefufua Zimamoto, basi wanunue tu na wao watayapokea na hawaombi vifaa vya kisasa tena ili wasiitwe mafisadi.
Ova
Wanataka kubomoa nyumba ya mkazi wa HanangInatia hasira mkuu,sasa unajiuliza hapo wanafanya nini juu ya bati
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanataka kubomoa nyumba ya mkazi wa Hanang