Kwa takwimu hizi ni kwamba hatuna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Kwa takwimu hizi ni kwamba hatuna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Tupo site msituseme Sana
FB_IMG_17016987361850161.jpg
 
Kimsingi hatuna Jeshi la zimamoto na uokoaji, Report ya CAG inaeleza.

1. Upungufu wa vituo 283,370 vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%.

2. Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na asilimia 91%.

3. Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi kwa kufanya maamuzi.

4. Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana, siku moto ukitokea bungeni, au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea.
JW wanafanya kazi nzuri kuliko hao wa moto
 
Kimsingi hatuna Jeshi la zimamoto na uokoaji, Report ya CAG inaeleza.

1. Upungufu wa vituo 283,370 vya vya kuchukulia maji ya kuzima moto sawa na 99.4%.

2. Upungufu wa vifaa vya zimamoto na uokoaji 6,352 sawa na asilimia 91%.

3. Jeshi hilo linarekodi matukio ya mlipuko wa moto na uokoaji kwa njia ya kizamani na kusababisha takwimu zisizo sahihi kwa kufanya maamuzi.

4. Jumla ya milipuko 1,718 ya moto iliyotokea katika mikoa 28 ya zimamoto katika kipindi cha mwaka mmoja haikuchunguzwa.

My take.
Hii ni hatari sana, siku moto ukitokea bungeni, au hata ikulu ni dhahiri kwamba kila kitu kitateketea.
Waliomba bajeti ya kuagiza vifaa vya kisasa vya uokoaji wa uzimaji moto, lakini mwendazake anawageuzia kibao na akawa anamshangiliwa kwamba eti kaibua ufisadi, wameamua kutulia sasa.

Kwa kuwa wanaona wakinunua yale maroli ya kuzimia moto ndiyo wamefufua Zimamoto, basi wanunue tu na wao watayapokea na hawaombi vifaa vya kisasa tena ili wasiitwe mafisadi.

Ova
 
Waliomba bajeti ya kuagiza vifaa vya kisasa vya uokoaji wa uzimaji moto, lakini mwendazake anawageuzia kibao na akawa anamshangiliwa kwamba eti kaibua ufisadi, wameamua kutulia sasa.

Kwa kuwa wanaona wakinunua yale maroli ya kuzimia moto ndiyo wamefufua Zimamoto, basi wanunue tu na wao watayapokea na hawaombi vifaa vya kisasa tena ili wasiitwe mafisadi.

Ova
Bajeti ya jeshi la zimamoto na uokoaji bado ni ndogo sana
 
Back
Top Bottom