Kwa takwimu zilivyo na kwa hulka ya CHADEMA hakuna aliye hai leo atashuhudia CHADEMA inatawala nchi hii

Kwa takwimu zilivyo na kwa hulka ya CHADEMA hakuna aliye hai leo atashuhudia CHADEMA inatawala nchi hii

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Harakati za CHADEMA kwenda ikulu na kupata nafasi ya kutawala nchi hii hazitakaa zifanikiwe sababu walianza na mguu mbaya.

KWANZA - Kuweka misingi yao kwa kubadirisha wanaharakati na uanaharakati kuwa wanasiasa na siasa. huu mchakato huchukua mda mrefu kufaniakiwa.

PILI - Kushobokea siasa za ukanda huku wakisahau kutambua kwamba kanda zao pendwa zina idadi ndogo sana ya watu.

TATU - Kuegemea wasomi, idadi ya wasomi nchi hii ni ndogo sana, wanadharau na walishakata mahusiano na watu wa kawaida wala hawaaminiki kwao. hapa wanapigwa na nguvu ya wajinga- the power of the stupid.

NNE - Kuegemea watu wa mijini, kosa lilelile- watu wa mjini ni 25-30 % ya idadi ya watanzania wote; hawa hawatoshi kukupeleka ikulu hivyo kuwaacha CHADEMA na sifa za kijinga za kufutia machozi za MAJIJI NA MIJI MIKUBWA YOTE IKO CHINI YA CHADEMA.

TANO - Kuwategemea vijana, dunia nzima takwimu zinaonyesha kuwa vijana hawana mda na siasa kwa sababu hazijibu maswali ya maswahibu yao.

SITA - Kuwategemea wapiga dili- hili nimeliona kwa Lissu na hadithi yake ya sembe, mchele, na mchicha vimepanda bei. Vilikuwa chini kwa sababu wakulima wanaovilima walikuwa wakipunjwa bei kwa kuwepo kwa soko finyu.

Sasa soko limepanuka, bei kwa makulima imepanda na kwa mlaji imepanda pia. Kwa kuunga mkono bei ya sembe ishuke ni sawa na kusema mkulima arudi kwenye bei ya chini kwa mazao yake. hapa CHADEMA imapata kura za wasiolima ambao ni 30% na kukosa 70% ya wakulima.

SABA - Unafiki, Mungu hasimami na wanafiki hata siku moja.

Nitaendela mkija kujadili...
 
Harakati za CHADEMA kwenda ikulu na kupata nafasi ya kutawala nchi hii hazitakaa zifanikiwe sababu walianza na mguu mbaya
KWANZA kuweka misingi yao kwa kubadirisha wanaharakati na uanaharakati kuwa wanasiasa na siasa. huu mchakato huchukua mda mrefu kufaniakiwa;
PILI kushobokea siasa za ukanda huku wakisahau kutambua kwamba kanda zao pendwa zina idadi ndogo sana ya watu;
TATU kuegemea wasomi- idadi ya wasomi nchi hii ni ndogo sana, wanadharau na walishakata mahusiano na watu wa kawaida wala hawaaminiki kwao. hapa wanapigwa na nguvu ya wajinga- the power of the stupid;
NNE kuegemea watu wa mijini- kosa lilelile- watu wa mjini ni 25-30 % ya idadi ya watanzania wote; hawa hawatoshi kukupeleka ikulu hivyo kuwaacha CHADEMA na sifa za kijinga za kufutia machozi za MAJIJI NA MIJI MIKUBWA YOTE IKO CHINI YA CHADEMA;
TANO kuwategemea vijana- dunia nzima takwimu zinaonyesha kuwa vijana hawana mda na siasa kwa sababu hazijibu maswali ya maswahibu yao;
TANO kuwategemea wapiga dili- hili nimeliona kwa Lissu na hadithi yake ya sembe, mchele, na mchicha vimepanda bei. Vilikuwa chini kwa sababu wakulima wanaovilima walikuwa wakipunjwa bei kwa kuwepo kwa soko finyu. Sasa soko limepanuka, bei kwa makulima imepanda na kwa mlaji impenda pia. Kwa kuunga mkono bei ya sembe ishuke ni sawa na kusema mkulima arudi kwenye bei ya chini kwa mazao yake. hapa CHADEMA imapata kura za wasiolima ambao ni 30% na kukosa 70% ya wakulima.
SITA unafiki Mungu hasimami na wanafiki hata siku moja
SABA nitaendela mkija kujadili
Ni kweli kabisa!
IMG-20230126-WA0003.jpg
 
Kuna wenzio walisemaga, Lissu akirudi nchini tuwaite mbwa.
Musiba alienda mbali zaidi na kusema watamfuata Lissu hukohuko ulaya wamshughulikie.
Yuko wapi Jobo Nduguyai na hila zake za kitoto za kuinyanyasa chamema.
 
... endelea kuwaza sisi na genge letu kutawala milele badala ya kuwaza taifa; kizazi cha leo na vingi vijavyo. Jinga!
 
Harakati za CHADEMA kwenda ikulu na kupata nafasi ya kutawala nchi hii hazitakaa zifanikiwe sababu walianza na mguu mbaya
KWANZA kuweka misingi yao kwa kubadirisha wanaharakati na uanaharakati kuwa wanasiasa na siasa. huu mchakato huchukua mda mrefu kufaniakiwa;
PILI kushobokea siasa za ukanda huku wakisahau kutambua kwamba kanda zao pendwa zina idadi ndogo sana ya watu;
TATU kuegemea wasomi- idadi ya wasomi nchi hii ni ndogo sana, wanadharau na walishakata mahusiano na watu wa kawaida wala hawaaminiki kwao. hapa wanapigwa na nguvu ya wajinga- the power of the stupid;
NNE kuegemea watu wa mijini- kosa lilelile- watu wa mjini ni 25-30 % ya idadi ya watanzania wote; hawa hawatoshi kukupeleka ikulu hivyo kuwaacha CHADEMA na sifa za kijinga za kufutia machozi za MAJIJI NA MIJI MIKUBWA YOTE IKO CHINI YA CHADEMA;
TANO kuwategemea vijana- dunia nzima takwimu zinaonyesha kuwa vijana hawana mda na siasa kwa sababu hazijibu maswali ya maswahibu yao;
TANO kuwategemea wapiga dili- hili nimeliona kwa Lissu na hadithi yake ya sembe, mchele, na mchicha vimepanda bei. Vilikuwa chini kwa sababu wakulima wanaovilima walikuwa wakipunjwa bei kwa kuwepo kwa soko finyu. Sasa soko limepanuka, bei kwa makulima imepanda na kwa mlaji imepanda pia. Kwa kuunga mkono bei ya sembe ishuke ni sawa na kusema mkulima arudi kwenye bei ya chini kwa mazao yake. hapa CHADEMA imapata kura za wasiolima ambao ni 30% na kukosa 70% ya wakulima.
SITA unafiki Mungu hasimami na wanafiki hata siku moja
SABA nitaendela mkija kujadili
Endelea na ushamba wako wa kudhani chadema iko mjini tu , nenda kila sehemu chadema ipo na itachukua dola hata kabla hujafa ili ushuhudie utukufu wa mungu ulivyo mkuu.. chadema ndo chama pekee ambacho hadi watoto wadogo wanajua kuwa kinapigania maslahi ya watanzania wote ....2025 ndo kipindi pekee Cha chadema kuichukua nchi hii bila vita ..nakuombea 2025 m/mungu akuweke ushuhudie ninacho kuambia
 
Endelea na ushamba wako wa kudhani chadema iko mjini tu , nenda kila sehemu chadema ipo na itachukua dola hata kabla hujafa ili ushuhudie utukufu wa mungu ulivyo mkuu.. chadema ndo chama pekee ambacho hadi watoto wadogo wanajua kuwa kinapigania maslahi ya watanzania wote ....2025 ndo kipindi pekee Cha chadema kuichukua nchi hii bila vita ..nakuombea 2025 m/mungu akuweke ushuhudie ninacho kuambia
2015 mlisema hivi hivi mkaishiakukosa mgombea mpaka mkamchukua Lowassa kwa mkopo;2020 mkaja na mkimbizi kutoka diaspora.
 
i
Wanadhani wamefika hapo kwa akili na nguvu zao

Wamechanganyikiwa hao

Yaani wanafanya Uhadaa mkubwa kweli wapate ubunge wa kuchaguliwa huko mbele, watapewa labda wizara tatu au nne, 'Watapewa' halafu watakuja kusema ni miaka 30 ya Domokrasia, Ya kupigania Uhuru, yaani tumeishi kwa Uhuru miaka yote hiyo halafu waje watulaghai?

Darasa la Saba ndio waliwatimua Wakoloni, Darasa la saba ndio walipigana kumuondoa Iddi Amini dada, Alitukorofisha lakini ni Mkombozi wa Waganda,
Darasa la saba hao hao ndio walikuwa Wazazi wa hawa wanaopiga makelele kwa nguvu, Wamejiuliza walikuzwa vipi na Wazazi wao wa Darasa la saba?

Nini walichokosa kutoka kwao? zaidi ya kudanganywa na maadili na tamaduni ngeni Ulimbukeni wao? , Darasa la saba hao hao ndio wanao waomba, wanao wadanganya waingie Barabarani kwa Nguvu?

Nguvu zao gani hizo? Wamefika hapo kwa nguvu za hao hao Darasa la Saba, Hao hao watakaowapa maridhiano, hao hao wanaowapa ulinzi.

Tanzania watu wamefunguka, Heko Mwalimu na Fikra zake Heko Magufuli kwa kutuonyesha njia sahihi ya kupambana na Wabadirifu na Mafisadi wa aina zote. Iwe ni wa mali, Rasilimali, Fikra, Akili na sasa Katiba yetu.

Nimeongeza.

Kitaeleweka.
 
Ukweli usemwe, CDM ndio chama pekee cha upinzani kimeweza na kinaweza kufanya shughuli za kisiasa mahali popote na saa yoyote ndani ya majiji, wiraya na majimbo yote ya uchaguzi, reference nzuri pitia mikutano yote ya lissu kipindi cha uchaguzi 2020
 
Back
Top Bottom